Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Alichokiharamisha Mtume (S.A.W) ni HARAM TU, sababu ya kumchukia ni kwasababu tuliamrishwa tusimchinje na kumla wala kumgusa, ni Kiumbe NAJISI

Hiyo ndiyo sababu.
...isipokiwa mkiwa kwenye shida ruhusa!
 
ila tuseme ukweli huyu mnyama namna alivyoumbwa sio wa kuliwa kabisa. hana hata shingo yani mwili wake umekaa hakuna pa kuchinja.
Hebu mfananishe nguruwe na ngombe au mbuzi au ngamia utaona kabisa hao wanyama wengine wameumbwa kwa ajili ya kuliwa sababu hata wana shingo ya kuchinjwa.

ndugu zangu msile huu ni uchafu. huyu mnyama ukimuacha utaondokana na maradhi mengi
Sisi ni wakristo na hatuli nguruwe maana bible imekataza
 
Weka summary mkuu, au external reference
WAMEKIMBIA .
Mke wa Mungu ni (NENO LAKE) na watoto wa Mungu ni wote wazaliwao katika kulitii Neno la Mungu ...Yesu akasema "nenda zako shetani imeandikwa mtu hato ishi kwa mkate bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu" hivyo wote wanao zaliwa kwa kulicha neno la Mungu ndiyo watoto wa Mungu ...Mungu akasema mimi leo nimekuzaa ...kuhusu Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu, maana imeandikwa šŸ‘‰Neno akafanyika mwili ,akaonekana šŸ‘‰šŸ‘‰"kama" mwana pekee wa Mungu...
......hivyo maandiko yanasema Yesu siyo mwana wa mungu wala mwana pekee wa Mungu bali alionekana kama mwana pekee wa Mungu...maana yake siyo ...sasa Yesu ni Nani ? Yesu anawauliza waisrael mbona mnaniita mwana wa Daudi ? Ikiwa Daudi mwenyewe aliniita ni Bwana wake? Nimekuwaje mwanawe ? Swali je Bwana wa daudi ambaye daudi alimwita Bwana mbinguni ni nani ? Jibu ni Mungu mkuu ...hivyo hapa Yesu alijifunua kuwa yeye ndiye BWANA WA DAUDI BWANA WA MUSA BWANA WA IBRAHIM BWANA WA YAKOBO(ISRAEL) BWANA WA MITUME NA MANABII WOTE Jagina FaizaFoxy Malaria 2 adriz Covax ustadhijuma
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Ni kama mimi ninavomchukia cristiano ronaldo....yaani sina sababu nimejikuta tu namchukia
 
Nasikia Wayahudi hawakubaligi kwamba Yesu alikuwa masihi (Kristo), wao wanamuabudu Yahwe, au Yehova, Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka ambaye pia ni Mungu wa baba yao, Mzee Israeli. Ila kuhusu Yesu wanakwambia masihi wao bado hajaja, ukiwauliza kuhusu Yesu wanakwambia Yesu alikuwa mwanamazingaombwe tu!

Uko sahihi. Marabi hawakubaliani ya kwamba yule aliye angikwq mtini alikuwa Mesiya. Ila hawana ubishi na unabii wa Isaya kwamba wamepata mwana ambaye uwezo na utukufu uko mabegani mwake.

Sasa swali langu ni kuwa hawa wayahudi wa Yombo Dovya hawasomi kwamba Israel šŸ‡®šŸ‡± anajulikana kama muuaji wa manabii? Halafu pia hawamkubali njia na uzima, yaani Yesu. Sasa huo uteule wanautoa wapi???
 
WAMEKIMBIA .
Mke wa Mungu ni (NENO LAKE) na watoto wa Mungu ni wote wazaliwao katika kulitii Neno la Mungu ...Yesu akasema "nenda zako shetani imeandikwa mtu hato ishi kwa mkate bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu" hivyo wote wanao zaliwa kwa kulicha neno la Mungu ndiyo watoto wa Mungu ...Mungu akasema mimi leo nimekuzaa ...kuhusu Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu, maana imeandikwa šŸ‘‰Neno akafanyika mwili ,akaonekana šŸ‘‰šŸ‘‰"kama" mwana pekee wa Mungu...
......hivyo maandiko yanasema Yesu siyo mwana wa mungu wala mwana pekee wa Mungu bali alionekana kama mwana pekee wa Mungu...maana yake siyo ...sasa Yesu ni Nani ? Yesu anawauliza waisrael mbona mnaniita mwana wa Daudi ? Ikiwa Daudi mwenyewe aliniita ni Bwana wake? Nimekuwaje mwanawe ? Swali je Bwana wa daudi ambaye daudi alimwita Bwana mbinguni ni nani ? Jibu ni Mungu mkuu ...hivyo hapa Yesu alijifunua kuwa yeye ndiye BWANA WA DAUDI BWANA WA MUSA BWANA WA IBRAHIM BWANA WA YAKOBO(ISRAEL) BWANA WA MITUME NA MANABII WOTE Jagina FaizaFoxy Malaria 2 adriz Covax
Wamekusikia mkuu
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Faith ana reasoning vinakosekana kwao
 
Sasa hiyo chuki yako imekuongezea nini?
mi mwenyewe nashangaa...binadam ndo tulivoumbwa....kuna kitu unakichukia tu bila hata sababu, huwez kucontrol....sanasana hua napotezea nafanya kama hakipo duniani nisienddelee kupata kero
 
20250818_131811.jpg
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Tatizo la waislam wengi wanakariri QURAN kwa kiarabu bila kuelewa lolote lile!!!,ata wale watoto wanaoshindanishwa kusoma QURAN wamekariri tu{they know nothing bro},,,okay,,,,sio nguruwe tu aliyekatazwa,ata sungura,bata na samaki kama kambale wote wametakatatwa,,wao wamekomaa na kiti moto,,,ila kwa sasa wameanza kuamka,,,,,wengi wao WANAGEGEDA kiti moto balaa!!!
 
Juzi tulikuwa na mjadala nilisema Mungu anaye mke waislamu mkaja mbio kunihoji niwatajie mke wa mungu ni nani ? Najua unakumbuka uzi ukafutwa ....mungu anayo familia na watoto na mke ila Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu...

Yaani Mary Magdalena ndiye mke wa huyo Mungu wako aliyetawazishwa mavi,.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom