Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,116
- 126,090
Kanisani sio haramu, semea huko msikitini kwenu.Ndiyo, si unaona mtaji unakula bila kusumbuliwa na mtu.
Kitimoto ni haramu ukiwa msikitini na kanisani ila ukiwa mhadzabe kama mm unakula tu
Kanisani sio haramu, semea huko msikitini kwenu.Ndiyo, si unaona mtaji unakula bila kusumbuliwa na mtu.
Kitimoto ni haramu ukiwa msikitini na kanisani ila ukiwa mhadzabe kama mm unakula tu
Semea dhehebu lakoMbona waislam wanaruhusiwa kula wakiwa na njaa?
Ishu n hv, wakristo wanafuata agano jipya hasa injili, agano la kale ni la kufanya marejeo tuu.
Mpaka hapo kuna ugumu kuelewa?
Hakuna wakristo wa Wayahudi.Semea dhehebu lako
Ila kwa wayahudi ni haramu
Sabato ni haramu
Vikundi vyote vya wakristo vya wayahudi ni haramu
Pia na waislamu
Kwahiyo kwao ni haramu kwako sio haramu kila mtu na mambo yake tu
Messianic jews ni kina nani?Hakuna wakristo wa Wayahudi.
Bc na nyie mkimuona mtu anaabudu ng'ombe muwe wapole na muwaheshimi mana kila mtu yupo na imani yake.
Kanisani ni haramu, labda kama hilo kanisa halifuati muongozo ambao ni Yesu na kitabu ambacho ni bibliaKanisani sio haramu, semea huko msikitini kwenu.
Asante msabato😆Kanisani ni haramu, labda kama hilo kanisa halifuati muongozo ambao ni Yesu na kitabu ambacho ni biblia
Wap Yesu alisema kitimoto ni haramuKanisani ni haramu, labda kama hilo kanisa halifuati muongozo ambao ni Yesu na kitabu ambacho ni biblia
Kwani wewe ni mlawi hadi useme imekatazwa?!Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Sawa ostaziKitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Hakuna sehemu Yesu ameruhusu nguruwe hata kwa kificho , Yesu hajawahi kuruhusu ulaji wa nguruwe kuanzia mwanzo mpaka ufunuoKati ya Yesu na Muhammadi ni nani aliye ruhusu ulaji wa nguruwe waziwazi ? Jibu ni Muhammadi...waislamu ni wanafiki na wapumbavu haswa....hao kina shekh mazinge ...shekh kishki shekh ponda...
Shekh shafii mbona wamejazana face buku na youtube ila hapa JF atuwaoni kutetea uislamu wamejificha kwenye vimitandaa vya wauza uchi ila haoa jf esu kutetea uislamu kwa sababu wanajua tupo watu wenye akili kwa kiwango kikubwa tofauti na huko .... adriz FaizaFoxy Jagina Malaria 2
Sijawahi kuwa ostaz mkuu hata kujimwagia maji kabla ya kuingia msikitini sijui taratibu zao.Sawa ostazi
Unaishi mkuu safiniko napata hapa karibuni.
View attachment 3444630
Hata hao watu wenu wa taifa teule wanachukia kitimoto mbona hamuwalalamikiiChuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.
Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.
Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.
Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.
Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.
Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.
Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Mi mwenyewe nashangaa kweli yani.Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.
Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.
Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.
Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Mbona waislam wanaruhusiwa kula wakiwa na njaa?
Ishu n hv, wakristo wanafuata agano jipya hasa injili, agano la kale ni la kufanya marejeo tuu.
Mpaka hapo kuna ugumu kuelewa?
Wasiowahi kupata Malaria wanawezaje kuthibitisha kuwa dawa ya Malaria inatibu? 😳Wasio wahi kuionja wanawezaje kuthibitisha hilo?