Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Ndo mtoa mada anauliza kitimoto ni haramu zaidi ya pombe?
vyote vimekatazwa
Suala la kipi kinapewa uzito ni mtazamo tu wa jamii
Mfano; Wizi wa mali za umma ni tatizo kubwa ila utaona linaongelewa kirahisi rahisi tu. Mtu anaweza kuchepushe hela na kufanya watu wafe kwa kukosa huduma ila ionekane kawaida kuliko mwizi wa kuku
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Alianzisha hii ni Yesu
Ungeuliza kwann alitoa mapepo wachafu alafu akawarushia nguruwe 🤣🤣
Kwan hakuona mbuzi au kondoo
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Kuna mmoja ameniambia bora azini nje ya ndoa lakini sio kula kitimoto
 
vyote vimekatazwa
Suala la kipi kinapewa uzito ni mtazo tu wa jamii
Mfano; Wizi wa mali za umma ni tatizo kubwa ila unaona inaongelewa kirahisi rahisi tu
Mtu anaweza kuchepushe hela na kufanya watu wafe kwa kukosa huduma ila ionekane kawaida; kuliko mwizi wa kuku
Asante kwa ufafanuzi mzuri.
 
Weka hivyo vifungu hapa upate elimu ya dini Acha kusoma biblia ukaitafasiri kama ulivo
watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;
4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao; Hio ni isaya 65:4

Soma kumbukumbu la torati 14 , mambo ya walawi 11 yote
 
Waislamu kule jangwani uarabuni kwa Mohamed walikuwa hawachimbi sana kaburi kwenda chini.Nguruwe akafukua kaburi la mogamed akatafuna mkono wake

Waislamu wakamdaka yule nguruwe
 
Waislamu kule jangwani uarabuni kwa Mohamed walikuwa hawachimbi sana kaburi kwenda chini.Nguruwe akafukua kaburi la mogamed akatafuna mkono wake

Waislamu wakamdaka yule nguruwe

Kurani iliandikwa miaka kibao baad ya Mohamed hicho kisa waandishi wakaandika nguruwe haramu kula wakati kabla kufa Mohamed alikuwa anakula
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
mbona wanakula kisirisiri
 
Waislamu kule jangwani uarabuni kwa Mohamed walikuwa hawachimbi sana kaburi kwenda chini.Nguruwe akafukua kaburi la mogamed akatafuna mkono wake

Waislamu wakamdaka yule nguruwe

Kurani iliandikwa miaka kibao baad ya Mohamed hicho kisa waandishi wakaandika nguruwe haramu kula wakati kabla kufa Mohamed alikuwa anakula

Hata kwa akili ya darasa la nne, Nguruwe anaweza kuishi jangwani?
Inasikitisha jinsi unavyoweza kuona watu wamesoma kumbe kichwani hawana maarifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom