Naomba ushahidi je ni nabii gani alikula nguruwe? Nani anaoushshidi yesu alikula nguruwe? Siitaji mtu anijibu anachofikiria yeye toa kitabuniWanaomuua na kumla huyo kiti moto ndio waseme alichowakosea!
Alafu swali la waislam kwanini kila siku tunaulizwa sisi tu je
Mmewauliza wasabato? Au wasabato wanakula?