Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Uharamu wa kitimoto upo kwenye imani ukiondoa imani kitimoto si haramu na unaweza kula utakavyo.
Imani ndo imeharamisha ulaji wa nguruwe pasipo imani unaweza kula hata nyani Au chochote ilimradi kwako unaona ni chakula
Bc kitimoto n haram ukiwa msikitini huko na sio mtaani
 
Waislam na wakristo wote vitabu vyao vimekataza nguruwe, ila cha kushangaza wana gida kama sisi tu
Biblia, agano la jipya Yesu inasema kimtokacho mtu ndo haramu na sio kiingiacho
 
Taja huo uharamu wa kitimoto uko wapi
inategemea wewe upo pande gani mkuu, mtu wa dini au freestyler


mi binafsi nguruwe sili, na sio nguruwe tu nikienda kwa jamaa zangu wamakonde nyani, kima, mbega na kenge sili pia
 
Matendo ya Mitume 10:10-15
[10]akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,

[11]akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;

[12]ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.

[13]Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.

[14]Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.

[15]Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu usiviite najisi.
Haya ni maono petro alikua anapewa na mungu ili petro aelewe vizuri ilibidi aletewe mfano mzuri kabisa.
Haya maandiko ukisoma between the lines bado yanapinga ulaji wa nguruwe.

Petro ambaye amekaa na Yesu karibu miaka 3 akijifunza direct kutoka kwake unaona kabisa anakataa kula vilivyo najisi maana amejifunza kutoka kwa yesu mwenyewe.
Petro angeamka na kula direct basi najisi ingekuwa imehalalishwa ila kwanza kwa kukataaa.

Maono haya yaliletwa ili aelewe anapaswa kuhubiri hata kwa watu wasio wayahudi, hili ndo lengo la maono haya.
 
Wengi wao hata hawajui ni kwa nini wanamchukia kitimoto, wanafata mkumbo na kukariri tuu lakini wengi wao ni watumiaji wazuri tuu wa kitimoto
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
hakuna mnyama anayechukiwa, nguruwe ni mnyama kama pundamilia, kobe au mamba yani anastahili kuishi zake porini tu na sio kufugwa na kuliwa
 
Biblia, agano la jipya Yesu inasema kimtokacho mtu ndo haramu na sio kiingiacho
😅😅😅 , wakristo mnachekesha sana mbona maandiko yenu yanawaambia mwingine akiona ni haramu ni haramu kweli ila inakuaje nyie mnalazimisha waislam waone ni halali?warumi 14 14 17
 
images (28).jpeg
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Ni chuki za kupandikizwa tu. Wanakosa chakula kitamu sana.
 
Kesho unakuta wakristo wamejazana kwenye uzi wa wawayudi wa buza na wakati wayahudi hawali nguruwe na wao ni haramu kwao😅😅😅😅
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!

Kuna mambo mengi ILA mojawapo
Ukisoma kwenye historia ya Mitume; kuna mahala watoto wa mtaa mzima waligeuzwa wakawa Nguruwe
Ilikuwa ni muujiza ila baadhi ya adhari zake baada ya hapo
Viungo (organs), Tissue nk za nguruwe zikafanana na binadam kuliko mnyama mwingine yeyote; Ikiwemo kuingia period nk. Hivyo ukila Nguruwe (nyama/mbavu) nk utajuwa mwenyewe unacho kula.
Kwa sasa wataalam wana angalia kutumia, moyo wa nguruwe, mbavu, mapafu, ini, tissue nk kupandikiza kwa binadamu kwani vinafanana.
Kwa mafundisho ya Uislam imekatazwa vikali mno!
 
Matendo ya Mitume 10:10-15
[10]akaumwa na njaa sana, akataka kula; lakini walipokuwa wakiandaa, roho yake ikazimia,

[11]akaona mbingu zimefunuka, na chombo kikishuka kama nguo kubwa, inatelemshwa kwa pembe zake nne hata nchi;

[12]ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne, na hao watambaao, na ndege wa angani.

[13]Kisha sauti ikamjia, kusema, Ondoka, Petro, uchinje ule.

[14]Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.

[15]Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu usiviite najisi.
Endelea 17 inasema ni maono halafu nenda kuanzia 28 tafsiri ya maono inatolewa hapo petro anapojibu with wa kornelio ambaye si myahudi bali ni italian , wayahudi na waroma walikua hawachangamani hii ndo maana ya maono na si chakula kama unavyotafsri
 
Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Kati ya Yesu na Muhammadi ni nani aliye ruhusu ulaji wa nguruwe waziwazi ? Jibu ni Muhammadi...waislamu ni wanafiki na wapumbavu haswa....hao kina shekh mazinge ...shekh kishki shekh ponda...
Shekh shafii mbona wamejazana face buku na youtube ila hapa JF atuwaoni kutetea uislamu wamejificha kwenye vimitandaa vya wauza uchi ila hapa jf wanaogopa kutetea uislamu kwa sababu wanajua tupo watu wenye akili kwa kiwango kikubwa tofauti na huko .... adriz FaizaFoxy Jagina Malaria 2
 
😅😅😅 , wakristo mnachekesha sana mbona maandiko yenu yanawaambia mwingine akiona ni haramu ni haramu kweli ila inakuaje nyie mnalazimisha waislam waone ni halali?warumi 14 14 17
Mbona waislam wanaruhusiwa kula wakiwa na njaa?

Ishu n hv, wakristo wanafuata agano jipya hasa injili, agano la kale ni la kufanya marejeo tuu.

Mpaka hapo kuna ugumu kuelewa?
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
niko napata hapa karibuni.
20250816_221131.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom