Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Ingekuwa huku nilipo kungekuwa na wagonjwa wengi sana wa kifafa. Lakini tangu nihamie,zaidi ya miaka kumi iliyopita sijawahi kuona wala kusikia mgonjwa wa kifafa
Elimu yetu haitupi uwezo wa kufikiria sawasawa na kuchambua mambo kwa kuzingatia mantiki. Ungezingatia mantiki na kufikiria sawasawa usingetoa hii comment yako.

➡️➡️ Kwa vile umekaa mahali na hujaona wala kusikia kuwa kuna mgonjwa hata mmoja wa UKIMWI, automatically ndiyo inamaanisha kuwa UKIMWI haupo hayo maeneo?

➡️➡️ Umesoma ukaelewa ni nini kinapaswa kufanyika kabla mlaji wa nyama ya nguruwe hajapata kifafa? Huko uliko nyama ya nguruwe inaandaliwaje? Nenda kafanye kiutafiti hata cha uongo na kweli pengine utapata jibu.

ocr_screenshot_1755461648.png


 
Mbona hata kitabu cha kikristo cha dini nao wamekatazwa bwashee? Nyie mnakula na kujiita wakristo , mnachagua vya kufauta na kuacha?

Huyu mdudu hana uharamu wowote kwa sisi wamatumbi , nikujipendekeza kwetu tu kwenye tamaduni za watu tu.
Wakristo wana kitabu gani??
 
hahaha umenifanya nicheke kijana

Nina kaka yangu ni mlevi mzuri tu, yani anakunywa haswa. Sasa siku moja aliingia bar moja hivi akakuta kwenye hiyo bar kunauzwa kitimoto alitoka mbio hatari, akasema hapa hapafai kabisa wanauza kitimoto..hahaa. Niliishia kucheka tu kwa sababu hata pombe ni haramu lakini kichwani mwake yeye alikuwa hataki kabisa kuwa karibu na kitimoto

Lakini uharamu wa nguruwe ukilinganisha na vitu vingine, nguruwe ni mchafu sana kwa asili yake. nahisi hii pia ndio sababu waislamu wengi wanaichukia zaidi
 
Nina kaka yangu ni mlevi mzuri tu, yani anakunywa haswa. Sasa siku moja aliingia bar moja hivi akakuta kwenye hiyo bar kunauzwa kitimoto alitoka mbio hatari, akasema hapa hapafai kabisa wanauza kitimoto.
🤣 haramu ya nguruwe ndo kaitilia mkazo sana.

Au ndo kama zuchu na kutangaza pombe
 
Lakini Cha ajabu ndiyo walaji wakubwa wa kisirisiri wa kitimoto, angalia trend ya uuzaji wa kitimoto inavyopungua kipindi Cha mfungo
Sio kweli kabisa, waislamu wengi wanakunywa pombe na wanunuaji wa pombe wakati wa ramadhani unapungua sana sababu wakati wa ramadhani wanaacha kabisa kunywa pombe. Hii ni kweli sikubishii.

Lakini sio kweli kwamba waislamu wengi wanakula kitimoto. Hii nakukatalia kabisa.
Waislamu wengi walevi sana ila hawali kitimoto, lakini pombe wanakunywa. Japo wapo wachache wanakula ila sio wengi.
 
Mbona hata kwenye biblia imeandikwa nguruwe ni najisi
 

ila tuseme ukweli huyu mnyama namna alivyoumbwa sio wa kuliwa kabisa. hana hata shingo yani mwili wake umekaa hakuna pa kuchinja.
Hebu mfananishe nguruwe na ngombe au mbuzi au ngamia utaona kabisa hao wanyama wengine wameumbwa kwa ajili ya kuliwa sababu hata wana shingo ya kuchinjwa.

ndugu zangu msile huu ni uchafu. huyu mnyama ukimuacha utaondokana na maradhi mengi
 
Kati ya Yesu na Muhammadi ni nani aliye ruhusu ulaji wa nguruwe waziwazi ? Jibu ni Muhammadi...waislamu ni wanafiki na wapumbavu haswa....hao kina shekh mazinge ...shekh kishki shekh ponda...
Shekh shafii mbona wamejazana face buku na youtube ila hapa JF atuwaoni kutetea uislamu wamejificha kwenye vimitandaa vya wauza uchi ila hapa jf wanaogopa kutetea uislamu kwa sababu wanajua tupo watu wenye akili kwa kiwango kikubwa tofauti na huko .... adriz FaizaFoxy Jagina Malaria 2
Una akili kweli unaabudia mungu mwenye familia , babu , Bibi, kaka, dada, wajomba mama, marafiki
 
Una akili kweli unaabidi Mungu mwenye familia , babu , Bibi, kaka, dada, wajomba
Juzi tulikuwa na mjadala nilisema Mungu anaye mke waislamu mkaja mbio kunihoji niwatajie mke wa mungu ni nani ? Najua unakumbuka uzi ukafutwa ....mungu anayo familia na watoto na mke ila Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu...
 
Juzi tulikuwa na mjadala nilisema Mungu anaye mke waislamu mkaja mbio kunihoji niwatajie mke wa mungu ni nani ? Najua unakumbuka uzi ukafutwa ....mungu anayo familia na watoto na mke ila Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu...
Weka summary mkuu, au external reference
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom