Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 876
- 4,101
Maelekezo kutoka ngazi za juu soon yataanza kutekelezwa; tuliona Shinyanga ilivyotumika nguvu kubwa kuwakatisha tamaa wananchi lakini wakashindwa.
Huwa mara nyingi upepo wa kisiasa ukionekana unawaendelea vyema CHADEMA kinachofuata ni vurugu na ghasia ambazo uandaliwa na viongozi wakuu wa chama tawala.
Jk alipoona CHADEMA inakuwa na nguvu sana alianza kutumia akina Nape na Mwigulu kutengeneza propaganda na sasa ndivyo hali ilivyo. Je, yakianza kutokea yatakemewa au yatapewa na ulinzi?
Huwa mara nyingi upepo wa kisiasa ukionekana unawaendelea vyema CHADEMA kinachofuata ni vurugu na ghasia ambazo uandaliwa na viongozi wakuu wa chama tawala.
Jk alipoona CHADEMA inakuwa na nguvu sana alianza kutumia akina Nape na Mwigulu kutengeneza propaganda na sasa ndivyo hali ilivyo. Je, yakianza kutokea yatakemewa au yatapewa na ulinzi?