Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,018
- 2,407
Inawezekana kwa sisi tuliosomea daslam kama ni mtu wa bata ni ngumu sana kuwa na mahusiano, maana mademu mchana mpo nao chuo afu jioni mnakutana viwanja na ukijifanya humjui ukipanda dau unaenda kusuza rungu, hili jambo lilinifanya niwadharau sana mademu wa chuo na sijawahi kutongoza yeyote kwa 4yrs,
Ilikuwa ni mwendo wa kuwatega tu club za Sinza, Tabata, Ubungo n.k
Ilikuwa ni mwendo wa kuwatega tu club za Sinza, Tabata, Ubungo n.k