TUPO...ULIKUWA UNATAKA KUSEMAJE?👹👺👻Mbona hamjawahi jitokeza kutupa Elimu,mlianzaje,mkakomaaje,mnafanyaje na mnafaidikaje au mnababukaje na maombi ya watu wenye Imani ya kweli?
Nimeona mpo kimya sana au ndiyo kujisahaulisha tu?
Kumcha Mungu ni kuwa huru kutoka kwenye vifungo vya GIZA🤣🤣🤣 Kumbe kumcha Mungu ni Raha sana hakuna kujifichaficha
Me nlijifunza mwenyewe kupitia Uzi humu Jf jamaa alikuwa anajiita RakimWee, ilikuwaje? Ulipatajepataje mkuu?
Hudhuriki? Hujisikii vibaya kupaa kwenye baridi wakati wenzio tumejifunika blangeti?
Hao ni wanga wanaowaminya minya...ni sawa na kusema vibaka wanavyo wasumbua usiku...na maharamia wanavyowaimbisha mtaji wa masikini maporini huko,yaani ni TASNIA KAMA.TASNIA NYINGINE...WACHAWI TUPO,SEMA ULIKUWA UNATAKA NINI?👹🤣🤣 Mbona umeanza kunitisha na vimong',omong',o mkuu...nilitaka mtuelezee kwanini mnatuminyaminya usiku?
Mbona hamjawahi jitokeza kutupa Elimu,mlianzaje,mkakomaaje,mnafanyaje na mnafaidikaje au mnababukaje na maombi ya watu wenye Imani ya kweli?
Nimeona mpo kimya sana au ndiyo kujisahaulisha tu?
Uchawi ni matokeo tu si lazima ajitangaze utawatambua kwa tabia zao tu. Roho ya kisasi na chuki iliyopitiliza ndo uchawi wenyewe hasa.Mbona hamjawahi jitokeza kutupa Elimu,mlianzaje,mkakomaaje,mnafanyaje na mnafaidikaje au mnababukaje na maombi ya watu wenye Imani ya kweli?
Nimeona mpo kimya sana au ndiyo kujisahaulisha tu?
Mbona watu hushinda kwenda kwa waganga,si uchawi huo mkuu?oya man hakuna kitu inaitwaga uchawi ni fiction tu izo bob we unadhani uchawi ungekuwepo watu wangekuwa wanateseka kiasi hiki? ni suala tuu lakutumia uchawi kazi inaisha chap