Hivi ilikuaje Kangi Lugola akawa waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi?

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,914
6,033
Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Jana nikawa mtandaoni YouTube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.

Je, vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo
 
Hayati Magufuli enzi za uhai wake alipata kumteua Kangi Lugola Ninja luwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.

Jana nikawa mtandaoni youtube nikasachi jina la Kangi Lugola, video zilizokuja nyingi ni kukata viuno au kuongea ujinga huku alitambulika kama Waziri.

Je vigezo gani hayati alivitumia kumpa Uwaziri poti Kangi Lugola Ninja? Maana ni miongoni mwa watu wa hovyo kuwahi kushika madaraka hayo

Alikuwa swahiba wa jiwe.

Lugora alikuwa head boy kwenye shule jiwe akiwa mwalimu.

Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.

Hiyo ndiyo Tanzania yetu kusikotakiwa katiba mpya.
 
Sijui alikosoma Nyang'anyi lakini najua alipofundisha Nyerere. Ni Pugu.

Asante kunirekebisha neno "sikosei" lilikuwa na maana ya kuyabeba makosa makosa haya ukizingatia hatuko kwenye UE humu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Alikuwa swahiba wa jiwe.

Lugora alikuwa head boy kwenye shule jiwe akiwa mwalimu.

Kama sikosei Mh. Nyang'anyi alikuwa mteuliwa wa JKN kihistoria naye akiwa head boy Minaki alikokuwa akifundisha mwalimu Nyerere.

Hiyo ndiyo Tanzania yetu kusikotakiwa katiba mpya.
Unamzungzia mustafah Nyang'anyi?
 
Akaiweka tanzania kwenye mifuko yake 🤣

20220310_185931.jpg
 
Kama nilivyosema, sijui alikosoma Nyang'anyi. Kwa hiyo katika hilo, siwezi kukusahihisha. Kwa hiyo usipaniki. UE pia kuna watu wana-disco. Excellence inahitajika sana maishani kuliko kwenye mitihani.
Asante kunirekebisha neno "sikosei" lilikuwa na maana ya kuyabeba makosa makosa haya ukizingatia hatuko kwenye UE humu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kama nilivyosema, sijui alikosoma Nyang'anyi. Kwa hiyo katika hilo, siwezi kukusahihisha. Kwa hiyo usipaniki. UE pia kuna watu wana-disco. Excellence inahitajika sana maishani kuliko kwenye mitihani.

Sijapaniki wala siwezi kupaniki. Aghalabu hizi ni facts:

1. JKN alikuwa mwalimu mkoa wa pwani. Kutokea huko head boy aliula.

2. JPM alikuwa mwalimu mkoa wa Mwanza. Kutokea huko head boy aliula.

Tuna mambo mengi ya kufanya kuwekeza kwenye nitty gritty. Maana kamili ya kutumia acronym UE where the nitty gritty belong.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.
 
Back
Top Bottom