David Cameron Waziri Mkuu wa Zamani wa Uingereza ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Ni baada ya kumtimua Waziri wa Ndani aliyechochea maandamano

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,062
49,749
Rish Sunak PM wa Uingereza amefanya mabadiliko kwenye Baraza lake la Mawaziri Kwa Kumtimua Waziri wa Mambo ya Ndani Suela Braverman na kumteua David Cameron Waziri Mkuu wa Zamani kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza.

Suela Braverman Waziri Mwandamizi na mwenye msimamo mkali kwenye Serikali ya Sunak alitimuliwa baada ya Shinikizo Kufuatia kutoa matamshi makali Kwa wanaopinga Uvamizi wa Israel Gaza/Palestine hivyo kuchochea maandamano makubwa Nchi Uingereza mwisho wa wiki.

Aliyekuwa Waziri wa Nje na Foreign Secretary James Claverly(Black) ameteukiwa kuwa Home Secretary.

My Take:
Tanzania tunaweza Kuiga Kwa mama kumteua Jakaya Kikwete kuwa Foreign Affairs Minister 🤪🤪

=======

Rishi Sunak appointed David Cameron as UK foreign secretary, a shock return to government for a man who led the UK between 2010 and 2016 but whose legacy is defined by his decision to call the Brexit referendum.

Cameron replaces James Cleverly, who became home secretary to fill the post vacated by Suella Braverman, Sunak’s office said a statement Monday. While Braverman’s firing alone would have been a seismic political move in Westminster, adding Cameron to the mix takes it to another level.

Bloomberg
 
20230715_185413.jpg
 
Linawezekana sana maana mnamtumia JK kwa mambo ya nje sana why not
Nimgefurahi sana akawa mambo ya nje kwani ndio fani yake
Huku katimuliwa kwa pressure ya wananchi na huyo PM ataondoka tu pia
Maana alikuwa anasita Sita kumtimua
Kwa kweli Braverman hakustaili hii post kwani hata mwanzo alitinuliwa na sasa mara ya pili
Dili la kagame na Patel nae yumo ila limefeli
 
Japokuwa kwa Africa kujihudhuru kwa makosa yaliyosababishwa na wizara yako huwa hatuko radhi!

Ila kwenye hili la aliyewahi kuongoza nchi kama Rais huwa ni dharau kubwa kuteuliwa kuja kutumikia nafasi kidogo kama wizara pekee, na unakuwa chini ya......na ulazimike kutoa ripoti ya kazi yako kwa aliyekutuma, hii kwetu ni kuvunjiana heshima


Acha kumvunjia heshima Rais wetu msaafu bhana!
 
Mbona hii habari sioni kwenye media zote kubwa,hata BBC haipo?
Jana saa 3 asubuhi ndio tulikuwa tunasubiria atangaze mawaziri wapya na wa zamani kwa post tofauti tofauti
Kabla ya hapo alionekana aliekuwa waziri wa mambo ya nje akiingia #10 Downing St na baada ya hapo nasikiliza radio wakamuona David nae anaingia #10 wakashangaa Cameron anafanya nini hapo kumbe ulaji mpya 😄

Mkuu tangu jana hii habari ipo kila mahali
 
Rish Sunak PM wa Uingereza amefanya mabadiliko kwenye Baraza lake la Mawaziri Kwa Kumtimua Waziri wa Mambo ya Ndani Suela Braverman na kumteua David Cameron Waziri Mkuu wa Zamani kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza.

Suela Braverman Waziri Mwandamizi na mwenye msimamo mkali kwenye Serikali ya Sunak alitimuliwa baada ya Shinikizo Kufuatia kutoa matamshi makali Kwa wanaopinga Uvamizi wa Israel Gaza/Palestine hivyo kuchochea maandamano makubwa Nchi Uingereza mwisho wa wiki.

Aliyekuwa Waziri wa Nje na Foreign Secretary James Claverly(Black) ameteukiwa kuwa Home Secretary.

My Take:
Tanzania tunaweza Kuiga Kwa mama kumteua Jakaya Kikwete kuwa Foreign Affairs Minister

=======

Rishi Sunak appointed David Cameron as UK foreign secretary, a shock return to government for a man who led the UK between 2010 and 2016 but whose legacy is defined by his decision to call the Brexit referendum.

Cameron replaces James Cleverly, who became home secretary to fill the post vacated by Suella Braverman, Sunak’s office said a statement Monday. While Braverman’s firing alone would have been a seismic political move in Westminster, adding Cameron to the mix takes it to another level.

Bloomberg
Vyeo vya umma sio sehem ya maigizo
 
Back
Top Bottom