JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini (Mb), ametembelea Gereza Geita lililopo Mkoani Geita na kuzungumza na Wafungwa pamoja na Mahabusu wakati alipofanya ziara yake ya Kikazi Mkoani humo Novemba 25, 2023.
Mhe. Sagini amefika Mkoani Geita ikiwa ni ziara yake ya kawaida kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na kusikiliza na kutatua kero zinazojitokeza lengo likiwa ni kuboresha utendaji kazi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini akipokea salamu ya heshima kutoka Gwaride Maalam lililoandaliwa na Askari Polisi mara baada ya kuwasili Mkoani Geita kwa ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na kusikiliza na kutatua kero zinazojitokeza Novemba 25, 2023.
Mhe. Sagini amefika Mkoani Geita ikiwa ni ziara yake ya kawaida kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na kusikiliza na kutatua kero zinazojitokeza lengo likiwa ni kuboresha utendaji kazi.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini akipokea salamu ya heshima kutoka Gwaride Maalam lililoandaliwa na Askari Polisi mara baada ya kuwasili Mkoani Geita kwa ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na kusikiliza na kutatua kero zinazojitokeza Novemba 25, 2023.