displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,091
haha kama mimi tu haaaaHuyu corona alikuwepo/ alikuwa akifahamika kabla..Leo ndio nmesoma dettol nimeona kaandikwa. Na me nnatumia dettol kabla hata corona hajazuka
haha kama mimi tu haaaaHuyu corona alikuwepo/ alikuwa akifahamika kabla..Leo ndio nmesoma dettol nimeona kaandikwa. Na me nnatumia dettol kabla hata corona hajazuka
Nafikiri kwa hali ya sasa serikali ingeruhusu matumizi ya gongo kwa ajili ya kutumika kama hand satizer









nimecheka km mazuri vile khaaaaah.Hii ndio org sasa, vipi Bei gan madukani?Hiyo ni sabuni ya maji ya kuoshea vyombo. Yenyewe ni kama hiyo hapo chiniView attachment 1391319
Sent using Jamii Forums mobile app
Sh mia
Hivi mfano nikikosa hivyo nikatumia spirit si shega tu.Hiyo sio sanitiser,ni sabuni ya maji,sanitiser huwa ni maji maji ambayo ukipaka kwenye mikono haina haja ya maji ili kusafisha,yenyewe yatosha na hukauka mkononi ndani ya sekunde chache...kwa kuzuia corona tafuta sanitizer yenye alcohol angalau asilimia sitini.
Hiyo ni sabuni ya majiWadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uhuniWadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sio sanitiser,ni sabuni ya maji,sanitiser huwa ni maji maji ambayo ukipaka kwenye mikono haina haja ya maji ili kusafisha,yenyewe yatosha na hukauka mkononi ndani ya sekunde chache...kwa kuzuia corona tafuta sanitizer yenye alcohol angalau asilimia sitini.
Sio hiyo jamaniNdio iyo iyo mkuu. Ila sabuni ya kawaida inafanya kazi fresh tu. Nenda shop nunua sabuni safi ya kuogea. Nawa mikono.
. Hiyo ni sabuni ya mikono ya maji.Za katavihizi za katavi sio za kuziamini sana boss,si unajua wabongo wanaweza kukuweke rangi za ice cream na ute wa majai na pafyum kwa mbaaali![]()


lakini nayo si inasaidia kwenye vita ya corona hata kama ni analogi ?Acheni kumpotosha jamaa, hiyo ni sabuni ya maji, ukiipaka mikononi lazima unawe na maji, hand sanitizer huna haja ya kunawa na maji ukishapaka
Sent using Jamii Forums mobile app