kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna kitu nimekitakari kwa kina nikawa najiuliza why sisi wa africa ndo bara lenye umaskini wa ajabu kwani mali tunazo udongo tunao. Kila kitu cha kutufanya kuwa matajiri au kuendelea kule mbele kama wenzetu tunacho.
Moyoni mwangu kukaja maandiko haya mawili
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Mit 14:34
Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Hayo maandiko yalikuja akili mwangu
Nikitaka kusema kuwa africa viongozi wengi wanapita kwenye madaraka kwa njia ambazo sio za halali kabisa
Na utakuta yeye mtu ambaye anajua hakuchaguliwa kuwa kiongozi na wanachi wake bali magendo yake ndo sababu ya kumfikisha pale siku ya kuapishwa ana panda juukwani na kitabu cha Mwenyezi Mungu kuomba baraka zake
Hivi Mungu anaweza kumsaidia mtu kama huyo kweli au
Na wengine wanapata uongozi kwa njia za halali lakini wakipata uongozi kuliko kufanya kilicho mpeleka madarakani yeye anacho kifanya ni kudili na wale wapinzani wake kuwapa kesi za ovyo ovyo ili mwakani abaki tena madarakani
Je mtu kama huyo Mungu anaweza kumbariki
Na pia Afrika kuna mambo mengi ambayo yanafanywa sio ya haki kabisa wanatesa watu fulani ili wao wabaki juu.
.
Wewe angalia nchi ambazo haki inafanya kazi wako vizuri.
Lakini kwetu Afrika ni kama hivo unavyo jua maraisi kwetu ni wafalme tu huna haki ya kumkosoa pale anapo kosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyoni mwangu kukaja maandiko haya mawili
Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Mit 14:34
Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.
Hayo maandiko yalikuja akili mwangu
Nikitaka kusema kuwa africa viongozi wengi wanapita kwenye madaraka kwa njia ambazo sio za halali kabisa
Na utakuta yeye mtu ambaye anajua hakuchaguliwa kuwa kiongozi na wanachi wake bali magendo yake ndo sababu ya kumfikisha pale siku ya kuapishwa ana panda juukwani na kitabu cha Mwenyezi Mungu kuomba baraka zake
Hivi Mungu anaweza kumsaidia mtu kama huyo kweli au
Na wengine wanapata uongozi kwa njia za halali lakini wakipata uongozi kuliko kufanya kilicho mpeleka madarakani yeye anacho kifanya ni kudili na wale wapinzani wake kuwapa kesi za ovyo ovyo ili mwakani abaki tena madarakani
Je mtu kama huyo Mungu anaweza kumbariki
Na pia Afrika kuna mambo mengi ambayo yanafanywa sio ya haki kabisa wanatesa watu fulani ili wao wabaki juu.
.
Wewe angalia nchi ambazo haki inafanya kazi wako vizuri.
Lakini kwetu Afrika ni kama hivo unavyo jua maraisi kwetu ni wafalme tu huna haki ya kumkosoa pale anapo kosea
Sent using Jamii Forums mobile app