Hivi hii ndio hand sanitizer jamani?

Hivi hii ndio hand sanitizer jamani?

Hii hapa ndio sanitizer, hiyo kwenye uzi wako ni sabuni zile za maji.

Ila kimsingi, watu waelimishwe maana sio wewe tu wengi nimeona wanadhani sanitizer ndio hiyo sabuni ya maji.
20200318_064659.jpeg
 
Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.

Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!

Ahsante

View attachment 1391261View attachment 1391262

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hio

Ila hio ni Sabuni ya kawaida.

Ngoja nikuambie kitu.
Sabuni na maji ya kunawa vinasaidia sana kuliko hata hio hand sanitizers ambazo wamezipandisha bei.

Kwa hio ukikosa hizo sanitizers wewe hakikisha unanawa mikono wewe na familia yako pindi mtu yoyote akishika kitu kisichoeleweka au pesa.
Wale virusi wanakaa pia kwenye pesa.
Na pia muepuke sana kushika shika sehemu za uso kama mikono yako sio misafi
 
Nimeenda duka la dawa hapa Ubungo nikawa nafuata panadol, nikauliza mask, ananiambia moja buku 3, ingawa alisema zimeisha, nikawaza kama kwa siku unatakiwa unadirishe atleast 3 times itakuaje sisi vipato vya kawaida,

Ngoja nikazane na kunawa mikono tu. Mungu atusaidie sana.
MASKs zinatumika kwa wale ambao tayari wanaugua huo ugonjwa au watu wanaohudumia wagonjwa (wahudumu wa afya). Kwa mtu ambaye hajauguwa, endelea kuchukua tahadhari ya kunawa mikono kwa sabunii, na kuwepo mikusanyiko isiyo ya lazima kama kwenda baa au kuangalia mpira!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom