Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,311
- 89,471
Unaweza uza Bei juu,lakini ujue mda wowote utajikuta lokapu kwa uhujumu
Nimeenda duka la dawa hapa Ubungo nikawa nafuata panadol, nikauliza mask, ananiambia moja buku 3, ingawa alisema zimeisha, nikawaza kama kwa siku unatakiwa unadirishe atleast 3 times itakuaje sisi vipato vya kawaida,
Ngoja nikazane na kunawa mikono tu. Mungu atusaidie sana.

