INFARED THERMOMETERS NA SANITIZER.

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
892
1,226
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 3 tu.

Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml bei elfu 25

Tunapatikana Makumbusho stendi Da es Saalaam
Mikoani kwa mzigo mkubwa pia unatumiwa.

Tucheki WhatsApp @ 0769509430
Text&Normal calls @ 0716704990
Screenshot_20200412-200548_Instagram~2.jpeg
Screenshot_20200412-200615_Instagram~2.jpeg
Screenshot_20200412-200615_Instagram~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shilingi laki 300?punguza kidogo mkuu fanya hata laki mia mbili!!!
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 300 tu.

Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml bei elfu 25

Tunapatikana Makumbusho stendi Da es Saalaam
Mikoani kwa mzigo mkubwa pia unatumiwa.

Tucheki WhatsApp @ 0769509430
Text&Normal calls @ 0716704990View attachment 1417565View attachment 1417567View attachment 1417569

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Infared thermometers kwa wenye maduka,malls,mashule,viwandani,majumbani nk kupima mtu joto la mwili bila kumkaribia zinapatikana kwa bei ya shilingi laki 300 tu.

Sanitizer 100ml bei elfu 10
500ml bei elfu 25

Tunapatikana Makumbusho stendi Da es Saalaam
Mikoani kwa mzigo mkubwa pia unatumiwa.

Tucheki WhatsApp @ 0769509430
Text&Normal calls @ 0716704990View attachment 1417565View attachment 1417567View attachment 1417569

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA
 
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA
Tbs na tmda hebu wapitie hizi sanitizer za Prof kishimba tusijepakwa gongo la mkuyuni,
 
Duka linakaguliwa na tbs,tfda na tra zisingeweza kuwekwa dukani
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mna tamaa sana jamani, IF THERMOMETER hadi inafika hapa toka CHINA ni 100, 000 Tsh tu maximum, unauzaje Laki tatu aisee?
 
Duh wabongo noma, hizo za watoto unataka upate faida 240, 000 nzima, hizo ni 60, 000 tu hadi inafika hapa toka China
 
Wabongo wanatamaa sana ..yani kwenye matatizo badala ya kuhurumiana wao wanachukulia kama fursa za kibiashara .yani hizi thermometet sanitizers na facemask(barakoa)wamepqndisha bei sana kuna duka moja nilienda kuulizia mask moja wananiambia buku tano wakati kipindi cha nyuma nilikuwa nanunua moja kwa jero..(ninauwelewa kuhusi quality ni ileile ila tu tamaa zao zimewazidi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom