Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,355
- 17,696
Huu uzi umenichekesha sana.
Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.
Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!
Ahsante
View attachment 1391261View attachment 1391262
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri kwa hali ya sasa serikali ingeruhusu matumizi ya gongo kwa ajili ya kutumika kama hand satizer
Kuna mtu kauziwa mosquito repelant ya kupaka kaambiwa ni sanitizer.Huku kitaa Kuna jamaa kanunua sabuni ya choo akizani sanitizers, elimu inapaswa itolewe sana.
Nimesikitika kuona majibu yote ya mwanzo yanamislead mchana kweupe!!Hio sio sanitizer. Hio ni sabuni ya maji.
Wee madame hebu kuwa serious bhan, nitajie Bei yake halis nikaichukue, lolSh mia
Huku kitaa Kuna jamaa kanunua sabuni ya choo akizani sanitizers, elimu inapaswa itolewe sana.







khaaaahLakini Mkuu hata "SPIRIT" ina kaubaridi flani amazing!Kasanitizer kana kaubaridi flani kazuri
Kizuli gawana na nduguyo na ni mimi pekee😀😀😂😂😂 Binamu naona wataka niumbuke.
N julie wapi hivyo vitu Binamu. Hapa ndio najifunza ujue. 😎Kizuli gawana na nduguyo na ni mimi pekee😀😀
Unawadanganya ndugu watizamaji... 😅N julie wapi hivyo vitu Binamu. Hapa ndio najifunza ujue. 😎
🏃♀️🏃♀️🏃♀️Unawadanganya ndugu watizamaji... 😅