Hivi hii ndio hand sanitizer jamani?

Hivi hii ndio hand sanitizer jamani?

Wadau nisaidieni kidogo, nimezunguka maduka mengi sana kuna kaduka flani kamejificha, nimefanikiwa kuipata hii bidhaa lakini sina hakika kama ndo hand sanitizer.

Naomba wataalamu wanisaidie kwenye hili!

Ahsante

View attachment 1391261View attachment 1391262

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni sabuni ya Maji......
Tafuta hii hapa
1584467210102.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hiyo si sabuni tu kama sabuni zingine? Mbona mnatafuta masoko kwa nguvu?
 
Hiyo sio sanitiser,ni sabuni ya maji,sanitiser huwa ni maji maji ambayo ukipaka kwenye mikono haina haja ya maji ili kusafisha,yenyewe yatosha na hukauka mkononi ndani ya sekunde chache...kwa kuzuia corona tafuta sanitizer yenye alcohol angalau asilimia sitini.
Recommended ni 70% and above.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutaona mengi kwa kweli.....masabuni ya maji ,Mara sanitizer, Mara vileo, basi ni vurugu tupu aisee😬😬
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom