- Thread starter
- #21
Huenda mawazo yamefanana ila mm nimeandika ninachokisikiagaHili andiko limetembea sana kule tweeter.
Huenda mawazo yamefanana ila mm nimeandika ninachokisikiagaHili andiko limetembea sana kule tweeter.
Huyu sio muda sana km hao wengineChesco mzee wamatunda
Labda ni unawachunguza wachunguzaji?Na kuna wale jamaa wa malumbano ya hoja wanaojirudia kila siku ITV. Nao wachunguzwe
Noma sana hawalipwi ila wanaitwaga studio kwa mialiko.Mi nikajua wanapewaga vocha😁
😁😁😁Labda ni unawachunguza wachunguzaji?
Kuna yule wa Masasi anajiita Dereva Bajaji..Kuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW
Mzee wa mashairi, bi shangazi, mwalimu wa sunday school, hao ni vigumu kuwakosa kwenye hoja za kijamiiNa kuna wale jamaa wa malumbano ya hoja wanaojirudia kila siku ITV. Nao wachunguzwe
Watu wanapayroll kukaa pale kila wiki😁😁 system ile😁😁😁
Sikuwa serious bro Ila naelewa watu wanapambana kwenye hizo platforms ili waonekane na watu flani watakaoweza kuwavusha.. More of a branding strategy sawa na wale wabobevu wa sekta flani wanapokuwa hawakosi kwenye kila jukwaa linaloendana na wanachokifanya 🙏🏽🙏🏽
Dah huyu nae nilimsahauKuna yule wa Masasi anajiita Dereva Bajaji..
Ni kupenda sifa tu Mkuu.
Wangewapa ubalozi wa radio mikoaniNoma sana hawalipwi ila wanaitwaga studio kwa mialiko.
😆😆😆 kweli mkuu maana wanajituma.Wangewapa ubalozi wa radio mikoani
Mm siingiii jf kila muda ...hawa kila kipindi siku nzima masaa 24 kwa siku 7Kwani wewe unalipwa na JF kukesha humu?
Si unaona ipo active 24/7 je kuna watu wanalipwa?Mm siingiii jf kila muda ...hawa kila kipindi siku nzima masaa 24 kwa siku 7
Pia hili swali niliwahi jiuliza inakuwaje mtu anajua vitu vyote hiviFilbert Kenshambi yupo kila kipindi iwe michezo, siasa au mambo ya Ukraine hakosekani.
Kuna mwingine baba Nurat mfuga njiwa yaan huyu karibu redio zote yupo na vipindi vyote yupo sijui wanafanya kazi mda gani,mesej wanaandika mda gani yaan wako faster balaaaKuna kipindi nilikuwa nikisikiliza radio hukosi simu au message za hawa watu katika kipindi chochote;
1. Mwalimu Kennedy mpemba kutoka Kahama hasa kwenye DW
2. Hamisi full migebuko kutoka kigoma
3. Daudi wa kota
4. Salma Msangi kutoka Dodoma
5. Kuna mwingine Filbert japo jina la mwisho nimesahau hutuma sana DW