Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 1,108
- 2,687
suala la kufunga ni la kiimani na sio maonyesho ni wewe na Muumba wako.
Kwhy Romans sio wakaristo? Basi sawaKwaresma ni ya Waroman mkuu, si ya Wakristo.
Kumbuka pia kwamba sio Wakristo wote wanafuata Kwaresma. Mfano Wasabato na Wapentekoste (walokole), hawafuati Liturjia ya Kwaresma.Hii nchi sio ya waislam na wakristo peke yake
Hilo linamhusu mleta madaKumbuka pia kwamba sio Wakristo wote wanafuata Kwaresma. Mfano Wasabato na Wapentekoste (walokole), hawafuati Liturjia ya Kwaresma.
Sisi ni freemason mkuu
Funga pekee haiwezi kumpeleka mtu peponi. Kuiona Pepo ni mjumuisho wa mambo mengi sana ya kiroho.Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.
Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?
Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Acha unafiki !! Kama kweli mnafunga, sasa iweje bajeti ya chakula iwe kubwa kupita kipindi ambacho hamjafunga ??! Mfano kabla ya mfungo unatumia 200,000/= ya chakula kwa mwezi, halafu ukifunga unatumia 500,000/= kwa mwezi badala ya kushuka hadi 20,000/= au 15,000/= kwa mwezi ??!Wana jamii kwema?. Leo nikiwa kwenye mizunguko yangu. Nikakutana na sahani za misosi zinapitishwa mchana kweupe watu wanapiga misosi fresh yani. Kabla macho hayajatulia vizuri naona juisi zina miminwa.
Sasa nikawa najiuliza hivi huu mwezi si Waislam na Wakristo funga imetukuta sote kwa pamoja. Sasa hawa wanaokula na kunywa mchana kweupe ni kina nani?
Muwe na mfungo mwema wa Ramadhan na Kwaresma.
Ni watu ,wewe ulitaka wawe akina nani?Wanaokula mchana niwakinanani,kwamana mazehebu yote,yapo kwenye mfungo
Wana vidonda vya tumbo, wengne waumini wa Nabii Tito wengine Rastaman... hawana rasta ila ni ma aireeWanaokula mchana niwakinanani,kwamana mazehebu yote,yapo kwenye mfungo