Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Msikilize hapa huyu Mkuu wa kitengo cha Maelezo. Anajitambua kweli?
👇
👇
Tangia atolewe pale Ikulu ni kama vile Akili zake zimepungua na kwa hili alilolisema naonda Akili zake sasa ndiyo zinaelekea Ukingoni.
Kwa hiyo moja ya mafanikio ya royoo Tua ni baba wa msanii kuja kuishi huku, basi Sawa na sisi baba wa dayamondi akaishi huko.!!!!
Binafsi sijaona alipokosea Msigwa
Alichotamka ni kikubwa na cha muhimu kwa kila anayemfahamu Rihanna lakini haifahamu Tanzania
Hizi nchi zetu watawala wengi wamelaaniwa kabisa
Labda tutakuwa tunaenda kupiga naye pichaHuyo Rihanna kweli anasaidia nini wakulima wa Tanzania?
umeelewa mada kweli huyu?unaambiwa baba wewe unasema RihanaBinafsi sijaona alipokosea Msigwa
Alichotamka ni kikubwa na cha muhimu kwa kila anayemfahamu Rihanna lakini haifahamu Tanzania
Huyo Rihanna kweli anasaidia nini wakulima wa Tanzania?