Gerson Msigwa 'Vitisho' vingi kwa Wafanyakazi wa Wizara yako muda mfupi tu baada ya Kuapishwa leo vya nini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,663
109,058
"Nataka kuona Visibility katika hii Wizara. Sitaki kuona Mfanyakazi yuko busy kuagiza Mihogo na siyo kujua nini Kinaendelea katika Michezo. Nikikuuliza Mfanyakazi yoyote Jambo la Kimchezo na hujui tutaonana wabaya"

Vyanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo vya Redio mbalimbali kwa Jioni hii / Usiku huu.

Gerson Msigwa ( Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) sijui ni kwanini hutaki Kubadilika kwa tabia zako Chukizo kwa Wengi wanaokuzunguka za Ubabe, Dharau, Sifa, Kupenda Ukubwa, Kuogopwa na Kuabudiwa na Kujipendekeza kulikopitiliza kwa Viongozi Wakuu wa nchi.

Labda nikuambie ( tena kwa Kukusaidia ) kuwa hiyo Wizara uliyoko sasa ina Kipengele cha Utamaduni na kiukweli huko ( hapo ) Mambo ya Utamaduni ( Uchawi ) ndiyo mahala pake hivyo usipoangalia hapo utapigwa Kipapai ( Fusho ) la Kutukuka na mpaka utaiona Chungu na Kuikimbia japo najua kuwa nawe Kiutamaduni ( Kindumba ) hauko vibaya sasa na usiniulize GENTAMYCINE nimejuaje ila Wewe jua hili nalijua.

Sasa Gerson Msigwa kama Wewe tu ni Katibu Mkuu una hivi Vitisho vya Kitoto na Kipuuzi kwa Wafanyakazi wa hiyo Wizara je, Boss wake ambaye ni Waziri Dk. Ndumbaro Yeye asemeje? Una Kiherehere mno na kupenda sana Ukubwa na hili ndilo linakumaliza hadi Wafanyakazi wengi Kukuchukia na Kukupenda Machoni huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na hata Kukucheka kama siyo na Kukuzomea pia.
 
"Nataka kuona Visibility katika hii Wizara. Sitaki kuona Mfanyakazi yuko busy kuagiza Mihogo na siyo kujua nini Kinaendelea katika Michezo. Nikikuuliza Mfanyakazi yoyote Jambo la Kimchezo na hujui tutaonana wabaya"

Vyanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo vya Redio mbalimbali kwa Jioni hii / Usiku huu.

Gerson Msigwa ( Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) sijui ni kwanini hutaki Kubadilika kwa tabia zako Chukizo kwa Wengi wanaokuzunguka za Ubabe, Dharau, Sifa, Kupenda Ukubwa, Kuogopwa na Kuabudiwa na Kujipendekeza kulikopitiliza kwa Viongozi Wakuu wa nchi.

Labda nikuambie ( tena kwa Kukusaidia ) kuwa hiyo Wizara uliyoko sasa ina Kipengele cha Utamaduni na kiukweli huko ( hapo ) Mambo ya Utamaduni ( Uchawi ) ndiyo mahala pake hivyo usipoangalia hapo utapigwa Kipapai ( Fusho ) la Kutukuka na mpaka utaiona Chungu na Kuikimbia japo najua kuwa nawe Kiutamaduni ( Kindumba ) hauko vibaya sasa na usiniulize GENTAMYCINE nimejuaje ila Wewe jua hili nalijua.

Sasa Gerson Msigwa kama Wewe tu ni Katibu Mkuu una hivi Vitisho vya Kitoto na Kipuuzi kwa Wafanyakazi wa hiyo Wizara je, Boss wake ambaye ni Waziri Dk. Ndumbaro Yeye asemeje? Una Kiherehere mno na kupenda sana Ukubwa na hili ndilo linakumaliza hadi Wafanyakazi wengi Kukuchukia na Kukupenda Machoni huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na hata Kukucheka kama siyo na Kukuzomea pia.
Kuna tatizo mtu akihimiza wafanyakazi wa chini yake kuchapa kazi?. Yote uliyoyaandika sijaona tatizo la kosa la Msigwa. Tatizo hatupendi uwajibikaji bali porojo na kupiga dili.
Waache watumishi wa Wizara ya michezo watekeleze majukumu yao ili kuinua michezo.
Sasa unataka mtu awe wizara ya michezo alaf unamuuliza kwanini Kramo hachezi hajui?, unamuuliza Aziz Ki ni mchezaji wa timu gani hajui?, unamuuliza Afcon ni nini anadhania ni Aina ya Ice cream.
 
"Nataka kuona Visibility katika hii Wizara. Sitaki kuona Mfanyakazi yuko busy kuagiza Mihogo na siyo kujua nini Kinaendelea katika Michezo. Nikikuuliza Mfanyakazi yoyote Jambo la Kimchezo na hujui tutaonana wabaya"

Vyanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo vya Redio mbalimbali kwa Jioni hii / Usiku huu.

Gerson Msigwa ( Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) sijui ni kwanini hutaki Kubadilika kwa tabia zako Chukizo kwa Wengi wanaokuzunguka za Ubabe, Dharau, Sifa, Kupenda Ukubwa, Kuogopwa na Kuabudiwa na Kujipendekeza kulikopitiliza kwa Viongozi Wakuu wa nchi.

Labda nikuambie ( tena kwa Kukusaidia ) kuwa hiyo Wizara uliyoko sasa ina Kipengele cha Utamaduni na kiukweli huko ( hapo ) Mambo ya Utamaduni ( Uchawi ) ndiyo mahala pake hivyo usipoangalia hapo utapigwa Kipapai ( Fusho ) la Kutukuka na mpaka utaiona Chungu na Kuikimbia japo najua kuwa nawe Kiutamaduni ( Kindumba ) hauko vibaya sasa na usiniulize GENTAMYCINE nimejuaje ila Wewe jua hili nalijua.

Sasa Gerson Msigwa kama Wewe tu ni Katibu Mkuu una hivi Vitisho vya Kitoto na Kipuuzi kwa Wafanyakazi wa hiyo Wizara je, Boss wake ambaye ni Waziri Dk. Ndumbaro Yeye asemeje? Una Kiherehere mno na kupenda sana Ukubwa na hili ndilo linakumaliza hadi Wafanyakazi wengi Kukuchukia na Kukupenda Machoni huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na hata Kukucheka kama siyo na Kukuzomea pia.
Huyu na Ndumbaro walivyo wajuaji hawawezi kupikwa chungu kimoja.
 
Labda nikuambie ( tena kwa Kukusaidia ) kuwa hiyo Wizara uliyoko sasa ina Kipengele cha Utamaduni na kiukweli huko ( hapo ) Mambo ya Utamaduni ( Uchawi ) ndiyo mahala pake hivyo usipoangalia hapo utapigwa Kipapai ( Fusho ) la Kutukuka na mpaka utaiona Chungu na Kuikimbia japo najua kuwa nawe Kiutamaduni ( Kindumba ) hauko vibaya sasa na usiniulize GENTAMYCINE nimejuaje ila Wewe jua hili nalijua.
🙌 🙌 Upewe maua yako!
 
"Nataka kuona Visibility katika hii Wizara. Sitaki kuona Mfanyakazi yuko busy kuagiza Mihogo na siyo kujua nini Kinaendelea katika Michezo. Nikikuuliza Mfanyakazi yoyote Jambo la Kimchezo na hujui tutaonana wabaya"

Vyanzo Taarifa: Vipindi vya Michezo vya Redio mbalimbali kwa Jioni hii / Usiku huu.

Gerson Msigwa ( Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) sijui ni kwanini hutaki Kubadilika kwa tabia zako Chukizo kwa Wengi wanaokuzunguka za Ubabe, Dharau, Sifa, Kupenda Ukubwa, Kuogopwa na Kuabudiwa na Kujipendekeza kulikopitiliza kwa Viongozi Wakuu wa nchi.

Labda nikuambie ( tena kwa Kukusaidia ) kuwa hiyo Wizara uliyoko sasa ina Kipengele cha Utamaduni na kiukweli huko ( hapo ) Mambo ya Utamaduni ( Uchawi ) ndiyo mahala pake hivyo usipoangalia hapo utapigwa Kipapai ( Fusho ) la Kutukuka na mpaka utaiona Chungu na Kuikimbia japo najua kuwa nawe Kiutamaduni ( Kindumba ) hauko vibaya sasa na usiniulize GENTAMYCINE nimejuaje ila Wewe jua hili nalijua.

Sasa Gerson Msigwa kama Wewe tu ni Katibu Mkuu una hivi Vitisho vya Kitoto na Kipuuzi kwa Wafanyakazi wa hiyo Wizara je, Boss wake ambaye ni Waziri Dk. Ndumbaro Yeye asemeje? Una Kiherehere mno na kupenda sana Ukubwa na hili ndilo linakumaliza hadi Wafanyakazi wengi Kukuchukia na Kukupenda Machoni huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na hata Kukucheka kama siyo na Kukuzomea pia.
Mkuu

Huyu kijana ni limbukeni sana naamini muda sio mrefu atakuwa historia maana kapelekwa kwenye wigo rahisi wa kumtumbua mazima
 
Kuna tatizo mtu akihimiza wafanyakazi wa chini yake kuchapa kazi?. Yote uliyoyaandika sijaona tatizo la kosa la Msigwa. Tatizo hatupendi uwajibikaji bali porojo na kupiga dili.
Waache watumishi wa Wizara ya michezo watekeleze majukumu yao ili kuinua michezo.
Sasa unataka mtu awe wizara ya michezo alaf unamuuliza kwanini Kramo hachezi hajui?, unamuuliza Aziz Ki ni mchezaji wa timu gani hajui?, unamuuliza Afcon ni nini anadhania ni Aina ya Ice cream.
....Walikuwa hawayatekelezi Kabla yake ? Dunia SI ilikuwa inasonga mbele ??...
 
Back
Top Bottom