Gerson Msigwa ni Kiongozi wa kutoa Elimu na kuelezea Manufaa ya DP World Tanzania. Aungwe Mkono

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
304
518
Baada ya Gerson Msigwa kutoa Elimu kuhusu azimio la Bunge na Uwekezaji wa Bandari ya Dar, Wananchi sasa wamejua ukweli.

Ni Jukumu letu Watanzania kuunga Mkono Juhudi zake kwani waliokuwa wanapotosha kuhusu Uwekezaji wa Bandarini sasa wameelewa ukweli. Watu walidanganywa kwamba Bandari zote za Tanzania zinachukuliwa na mwarabu kwa mkataba usio na kikomo. Sasa watu wote wameelewa zilikuwa propaganda za kuzua taharuki na uongo kutoka kwa watu wanaoitakia Mabaya Tanzania.

Kila Mtanzania anapaswa kuunga Mkono juhudi zinazo fanywa na Gerson Msigwa, vita ya kiuchumi haijawahi kuwa nyepesi.

IMG_20210405_075114.jpg

Gerson Msigwa

Leo asubuhi nimesoma post ya Kigogo wa Twitter akimshambulia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwa wamezembea kutoa elimu kuhusu mkataba wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari.

Nimeshangaa sana kwamba kwa zaidi ya wiki mbili hata kabla mkataba huu haujasomwa Bungeni ina maana Kigogo alikuwa haoni jinsi Msigwa alivyokuwa akitoa maelezo kuhusu mkataba huu na umuhimu wake kwa Taifa?

Nimeshangaa zaidi kwamba wakati Msigwa akitoa taarifa kuhusu mkataba huu wengi walikuwa wanambeza kwamba hajui anachokifanya akiwemo Kigogo mwenyewe na kushinikiza aondolewe, leo ukweli umejulikana kuwa Msigwa alikuwa sahihi ndio Kigogo anakuja na makala ndefu ya kudai Msigwa hajatimiza wajibu wake? Uonezi mkubwa.

Namkumhusha Kigogo kuwa Msigwa amezungumzia uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam mara nyingi katika mikutano yake ya Waandishi wa Habari na alieleza dhamira ya Serikali ya kutafuta wawekezaji kwa ajili ya kongeza ufanisi wa bandari hii.

Nikiwa mmoja wa wanaofuatilia kazi zinazofanywa na Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali nadiriki kusema shambulizi hili ni uonezi mkubwa na Kigogo anapaswa kujua anaotuandikia pia tuna akili za kujua mambo.

Nani asiyejua mageuzi makubwa ya Idara ya Habari wakati wa Dk. Hassan Abbas na mageuzi makubwa zaidi alitoyafanya Gerson Msigwa.

Ina maana Kigogo amesahau kuwa ni katika kipindi cha Msigwa Idara ya Habari imeanzisha taarifa za Msemaji Mkuu wa Serikali ambazo zilianza kutoka kila wiki kiasi cha kuonekana zinachosha na mikutano ya taasisi za Serikali ambayo hufanyika mfurulizo katika kipindi ambacho Bunge halikutani?

Nani asiyejua kuwa Msigwa kaja na kitengo cha Idara ya Habari MAELEZO kinachorusha matangazo mbashara kama ilivyo Ikulu na sasa vyombo vya habari vinapata matangazo ya shughuli mbalimbali za Serikali moja kwa moja kwenye newsrooms zao?

Ni Msigwa huyuhuyu kaanzisha Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo anawaleta Mawaziri na wanaulizwa na kujibu maswali papo hapo.

Ni Msigwa huyu huyu ametengeneza studio na yupo mbioni kuanzisha Kipindi Maalum cha Ongea na Waziri, na amewaonesha Waandishi wa Habari wa Dodoma gari la matangazo kwa ajili ya kufanya matangazo ya nje.

Nimejiuliza sana ina maana Kigogo hasikii jinsi Msigwa anavyopambana kukabiliana na uposhaji mbalimbali unapotokea? Kwamba Kigogo hamuoni Msigwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni.

Kwamba Kigogo haoni majarida ya Nchi Yetu kutoka Idara ya Habari MAELEZO ya Mtandaoni na nakala ngumu?

Kwamba Kigogo haoni Makala ya Kazi Iendelee inayorushwa na TBC

Kwamba Kigogo haoni clip za video zinazotengenezwa na Idara ya Habari kila siku na kusambazwa mitandaoni tena nyingine hata yeye huwa anapost

Kwamba Kigogo haoni pages za Msigwa na za Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali za Mtandaoni na jinsi anavyoipambania Serikali ya Rais Samia?

Kwamba hamsikii Msigwa akiwa kwenye matukio mbalimbali?

Lakini Je, Kigogo anajua kazi zingine anazozifanya Msigwa ambazo pengine hazionekani machoni.

Nadhani kwenye hili Kigogo kachemka, na ni vizuri atafute shutuma zingine dhidi ya Msigwa na Idara ya Habari. Hii hapana, mwacheni kijana afanye kazi.

Tena kibaya zaidi anagombanishwa na aliyemteua yaani Rais. Hili jambo linakwaza sana.

Nikiwa ni mmoja wa vijana wanaojifunza kutoka kwa Msigwa, sijafurahishwa na post ya Kigogo na nimeona niandike hapa.

Msigwa piga kazi, Watanzania tunaona unachokifanya kwa ajili ya Serikali yetu na Rais wetu.
 
Baada ya Gerson Msigwa kutoa Elimu kuhusu azimio la Bunge na Uwekezaji wa Bandari ya Dar, Wananchi sasa wamejua ukweli.

Ni Jukumu letu Watanzania kuunga Mkono Juhudi zake kwani waliokuwa wanapotosha kuhusu Uwekezaji wa Bandarini sasa wameelewa ukweli. Watu walidanganywa kwamba Bandari zote za Tanzania zinachukuliwa na mwarabu kwa mkataba usio na kikomo. Sasa watu wote wameelewa zilikuwa propaganda za kuzua taharuki na uongo kutoka kwa watu wanaoitakia Mabaya Tanzania.

Kila Mtanzania anapaswa kuunga Mkono juhudi zinazo fanywa na Gerson Msigwa, vita ya kiuchumi haijawahi kuwa nyepesi.

View attachment 2660840
Gerson Msigwa

Leo asubuhi nimesoma post ya Kigogo wa Twitter akimshambulia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwa wamezembea kutoa elimu kuhusu mkataba wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari.

Nimeshangaa sana kwamba kwa zaidi ya wiki mbili hata kabla mkataba huu haujasomwa Bungeni ina maana Kigogo alikuwa haoni jinsi Msigwa alivyokuwa akitoa maelezo kuhusu mkataba huu na umuhimu wake kwa Taifa?

Nimeshangaa zaidi kwamba wakati Msigwa akitoa taarifa kuhusu mkataba huu wengi walikuwa wanambeza kwamba hajui anachokifanya akiwemo Kigogo mwenyewe na kushinikiza aondolewe, leo ukweli umejulikana kuwa Msigwa alikuwa sahihi ndio Kigogo anakuja na makala ndefu ya kudai Msigwa hajatimiza wajibu wake? Uonezi mkubwa.

Namkumhusha Kigogo kuwa Msigwa amezungumzia uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam mara nyingi katika mikutano yake ya Waandishi wa Habari na alieleza dhamira ya Serikali ya kutafuta wawekezaji kwa ajili ya kongeza ufanisi wa bandari hii.

Nikiwa mmoja wa wanaofuatilia kazi zinazofanywa na Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali nadiriki kusema shambulizi hili ni uonezi mkubwa na Kigogo anapaswa kujua anaotuandikia pia tuna akili za kujua mambo.

Nani asiyejua mageuzi makubwa ya Idara ya Habari wakati wa Dk. Hassan Abbas na mageuzi makubwa zaidi alitoyafanya Gerson Msigwa.

Ina maana Kigogo amesahau kuwa ni katika kipindi cha Msigwa Idara ya Habari imeanzisha taarifa za Msemaji Mkuu wa Serikali ambazo zilianza kutoka kila wiki kiasi cha kuonekana zinachosha na mikutano ya taasisi za Serikali ambayo hufanyika mfurulizo katika kipindi ambacho Bunge halikutani?

Nani asiyejua kuwa Msigwa kaja na kitengo cha Idara ya Habari MAELEZO kinachorusha matangazo mbashara kama ilivyo Ikulu na sasa vyombo vya habari vinapata matangazo ya shughuli mbalimbali za Serikali moja kwa moja kwenye newsrooms zao?

Ni Msigwa huyuhuyu kaanzisha Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo anawaleta Mawaziri na wanaulizwa na kujibu maswali papo hapo.

Ni Msigwa huyu huyu ametengeneza studio na yupo mbioni kuanzisha Kipindi Maalum cha Ongea na Waziri, na amewaonesha Waandishi wa Habari wa Dodoma gari la matangazo kwa ajili ya kufanya matangazo ya nje.

Nimejiuliza sana ina maana Kigogo hasikii jinsi Msigwa anavyopambana kukabiliana na uposhaji mbalimbali unapotokea? Kwamba Kigogo hamuoni Msigwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni.

Kwamba Kigogo haoni majarida ya Nchi Yetu kutoka Idara ya Habari MAELEZO ya Mtandaoni na nakala ngumu?

Kwamba Kigogo haoni Makala ya Kazi Iendelee inayorushwa na TBC

Kwamba Kigogo haoni clip za video zinazotengenezwa na Idara ya Habari kila siku na kusambazwa mitandaoni tena nyingine hata yeye huwa anapost

Kwamba Kigogo haoni pages za Msigwa na za Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali za Mtandaoni na jinsi anavyoipambania Serikali ya Rais Samia?

Kwamba hamsikii Msigwa akiwa kwenye matukio mbalimbali?

Lakini Je, Kigogo anajua kazi zingine anazozifanya Msigwa ambazo pengine hazionekani machoni.

Nadhani kwenye hili Kigogo kachemka, na ni vizuri atafute shutuma zingine dhidi ya Msigwa na Idara ya Habari. Hii hapana, mwacheni kijana afanye kazi.

Tena kibaya zaidi anagombanishwa na aliyemteua yaani Rais. Hili jambo linakwaza sana.

Nikiwa ni mmoja wa vijana wanaojifunza kutoka kwa Msigwa, sijafurahishwa na post ya Kigogo na nimeona niandike hapa.

Msigwa piga kazi, Watanzania tunaona unachokifanya kwa ajili ya Serikali yetu na Rais wetu.
Wewe wapambe tu, watu hawana imani na hyo serikali tena juu ya hilo sakata la bandari.
 
Ule mkataba kati ya serikali ya Samia na waarabu wa DP World hauna ukomo, kama wewe unasema ukomo upo, sema ni kifungu namba ngapi kwenye ule mkataba kinachozungumzia ukomo utuambie na muda wa ukomo.

Pia, ule mkataba umetoa Exclusive Rights kwa mwarabu wa DP World, hapa ni sawa na kusema, baada ya kuwapa mkataba usio na ukomo, pia tukawapa utu wetu, tumegeuzwa manamba na Samia aliyeamua kutusaliti kwa wajomba zake tukawe watumwa wao, huyu mama hafai, hafai, hatufai kabisa.

Amekuja kutunyan'ganya wabara uhuru wetu wa kujitawala, yeye tuliyempa nafasi ya kutuongoza, akaapa kuilinda na kuiheshimu Katiba, ameivunja kwa kwenda kinyume na kiapo alichoapa cha kututumikia wabara, ametusaliti, HAFAI.
 
Ule mkataba kati ya serikali ya Samia na waarabu wa DP World hauna ukomo, kama wewe unasema ukomo upo, sema ni kifungu namba ngapi kwenye ule mkataba kinachozungumzia ukomo utuambie na muda wa ukomo.

Pia, ule mkataba umetoa Exclusive Rights kwa mwarabu wa DP World, hapa ni sawa na kusema, baada ya kuwapa mkataba usio na ukomo, pia tukawapa utu wetu, tumegeuzwa manamba na Samia aliyeamua kutusaliti kwa wajomba zake tukawe watumwa wao, huyu mama hafai, hafai, hatufai kabisa.

Amekuja kutunyan'ganya wabara uhuru wetu wa kujitawala, yeye tuliyempa nafasi ya kutuongoza, akaapa kuilinda na kuiheshimu Katiba, ameivunja kwa kwenda kinyume na kiapo alichoapa cha kututumikia wabara, ametusaliti, HAFAI.
Hakuna mkataba wowote hadi sasa kuhusu Bandari wala hakuna mkataba oliosainiwa wa Bandari. Kama mkataba haupo, ukomo mtu ataujuaje?

Suburi Mkataba uje wa Bandari ndo uulize hili swali.
 
Baada ya Gerson Msigwa kutoa Elimu kuhusu azimio la Bunge na Uwekezaji wa Bandari ya Dar, Wananchi sasa wamejua ukweli.

Ni Jukumu letu Watanzania kuunga Mkono Juhudi zake kwani waliokuwa wanapotosha kuhusu Uwekezaji wa Bandarini sasa wameelewa ukweli. Watu walidanganywa kwamba Bandari zote za Tanzania zinachukuliwa na mwarabu kwa mkataba usio na kikomo. Sasa watu wote wameelewa zilikuwa propaganda za kuzua taharuki na uongo kutoka kwa watu wanaoitakia Mabaya Tanzania.

Kila Mtanzania anapaswa kuunga Mkono juhudi zinazo fanywa na Gerson Msigwa, vita ya kiuchumi haijawahi kuwa nyepesi.

View attachment 2660840
Gerson Msigwa

Leo asubuhi nimesoma post ya Kigogo wa Twitter akimshambulia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwa wamezembea kutoa elimu kuhusu mkataba wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari.

Nimeshangaa sana kwamba kwa zaidi ya wiki mbili hata kabla mkataba huu haujasomwa Bungeni ina maana Kigogo alikuwa haoni jinsi Msigwa alivyokuwa akitoa maelezo kuhusu mkataba huu na umuhimu wake kwa Taifa?

Nimeshangaa zaidi kwamba wakati Msigwa akitoa taarifa kuhusu mkataba huu wengi walikuwa wanambeza kwamba hajui anachokifanya akiwemo Kigogo mwenyewe na kushinikiza aondolewe, leo ukweli umejulikana kuwa Msigwa alikuwa sahihi ndio Kigogo anakuja na makala ndefu ya kudai Msigwa hajatimiza wajibu wake? Uonezi mkubwa.

Namkumhusha Kigogo kuwa Msigwa amezungumzia uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam mara nyingi katika mikutano yake ya Waandishi wa Habari na alieleza dhamira ya Serikali ya kutafuta wawekezaji kwa ajili ya kongeza ufanisi wa bandari hii.

Nikiwa mmoja wa wanaofuatilia kazi zinazofanywa na Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali nadiriki kusema shambulizi hili ni uonezi mkubwa na Kigogo anapaswa kujua anaotuandikia pia tuna akili za kujua mambo.

Nani asiyejua mageuzi makubwa ya Idara ya Habari wakati wa Dk. Hassan Abbas na mageuzi makubwa zaidi alitoyafanya Gerson Msigwa.

Ina maana Kigogo amesahau kuwa ni katika kipindi cha Msigwa Idara ya Habari imeanzisha taarifa za Msemaji Mkuu wa Serikali ambazo zilianza kutoka kila wiki kiasi cha kuonekana zinachosha na mikutano ya taasisi za Serikali ambayo hufanyika mfurulizo katika kipindi ambacho Bunge halikutani?

Nani asiyejua kuwa Msigwa kaja na kitengo cha Idara ya Habari MAELEZO kinachorusha matangazo mbashara kama ilivyo Ikulu na sasa vyombo vya habari vinapata matangazo ya shughuli mbalimbali za Serikali moja kwa moja kwenye newsrooms zao?

Ni Msigwa huyuhuyu kaanzisha Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo anawaleta Mawaziri na wanaulizwa na kujibu maswali papo hapo.

Ni Msigwa huyu huyu ametengeneza studio na yupo mbioni kuanzisha Kipindi Maalum cha Ongea na Waziri, na amewaonesha Waandishi wa Habari wa Dodoma gari la matangazo kwa ajili ya kufanya matangazo ya nje.

Nimejiuliza sana ina maana Kigogo hasikii jinsi Msigwa anavyopambana kukabiliana na uposhaji mbalimbali unapotokea? Kwamba Kigogo hamuoni Msigwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni.

Kwamba Kigogo haoni majarida ya Nchi Yetu kutoka Idara ya Habari MAELEZO ya Mtandaoni na nakala ngumu?

Kwamba Kigogo haoni Makala ya Kazi Iendelee inayorushwa na TBC

Kwamba Kigogo haoni clip za video zinazotengenezwa na Idara ya Habari kila siku na kusambazwa mitandaoni tena nyingine hata yeye huwa anapost

Kwamba Kigogo haoni pages za Msigwa na za Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali za Mtandaoni na jinsi anavyoipambania Serikali ya Rais Samia?

Kwamba hamsikii Msigwa akiwa kwenye matukio mbalimbali?

Lakini Je, Kigogo anajua kazi zingine anazozifanya Msigwa ambazo pengine hazionekani machoni.

Nadhani kwenye hili Kigogo kachemka, na ni vizuri atafute shutuma zingine dhidi ya Msigwa na Idara ya Habari. Hii hapana, mwacheni kijana afanye kazi.

Tena kibaya zaidi anagombanishwa na aliyemteua yaani Rais. Hili jambo linakwaza sana.

Nikiwa ni mmoja wa vijana wanaojifunza kutoka kwa Msigwa, sijafurahishwa na post ya Kigogo na nimeona niandike hapa.

Msigwa piga kazi, Watanzania tunaona unachokifanya kwa ajili ya Serikali yetu na Rais wetu.
Weka namba ya simu,
 
Mkataba/ Makubaliano uliopigiwa kura bungeni uko wapi?

Serikali imeuweka wazi usomwe na wananchi wapi?
 
Mkataba/ Makubaliano uliopigiwa kura bungeni uko wapi?

Serikali imeuweka wazi usomwe na wananchi wapi?
Mkuu kuna agreement ya Nchi na Nchi ya Ushirikiano. Ambao ndo Bunge limetoa Azimio la kukubali waje wawekeze. Sasa kinachofuata ndo Mkataba. Tatizo ni mambo ya kisheria watu wanasoma kama Novel then wanakuwa wachambuzi
Screenshot_20230618-000531.png
 
Mkuu kuna agreement ya Nchi na Nchi ya Ushirikiano. Ambao ndo Bunge limetoa Azimio la kukubali waje wawekeze. Sasa kinachofuata ndo Mkataba. Tatizo ni mambo ya kisheria watu wanasoma kama Novel then wanakuwa wachambuzi
View attachment 2661259

First of all drop that condescending tone.

It is grotesquely unbecoming of a critical thinker to have such airs.

Nimekuuliza swali dogo tu umeshindwa kujibu.

Hiyo agreement imewekwa wapi na serikali ili watu waisome na kuijadili?

Hii ni haki ya kikatiba. Wananchi wana haki ya kupewa habari muhimu za uendeshaji wa nchi yao.

Mpaka sasa hakuna tovuti hata moja ya serikali iliyotupa hii agreement.

Kwa nini serikali inakuwa na usiri hivi?

Hamuoni kuwa usiri huu nao unachochea hisia kwamba hapa kuna kitu hakipo sawa, viongozi wamechukua rushwa katika kufanya mikataba ambayo haijashindanisha wawekezaji kizabuni?

Why all this damn opacity and secrecy if everything is hunky dory?
 
Naona Msigwa umekuja kujipigia debe huku jf, sawa mkuu pambana usije porwa buyu lako la asali!.
 
Baada ya Gerson Msigwa kutoa Elimu kuhusu azimio la Bunge na Uwekezaji wa Bandari ya Dar, Wananchi sasa wamejua ukweli.

Ni Jukumu letu Watanzania kuunga Mkono Juhudi zake kwani waliokuwa wanapotosha kuhusu Uwekezaji wa Bandarini sasa wameelewa ukweli. Watu walidanganywa kwamba Bandari zote za Tanzania zinachukuliwa na mwarabu kwa mkataba usio na kikomo. Sasa watu wote wameelewa zilikuwa propaganda za kuzua taharuki na uongo kutoka kwa watu wanaoitakia Mabaya Tanzania.

Kila Mtanzania anapaswa kuunga Mkono juhudi zinazo fanywa na Gerson Msigwa, vita ya kiuchumi haijawahi kuwa nyepesi.

View attachment 2660840
Gerson Msigwa

Leo asubuhi nimesoma post ya Kigogo wa Twitter akimshambulia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwa wamezembea kutoa elimu kuhusu mkataba wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari.

Nimeshangaa sana kwamba kwa zaidi ya wiki mbili hata kabla mkataba huu haujasomwa Bungeni ina maana Kigogo alikuwa haoni jinsi Msigwa alivyokuwa akitoa maelezo kuhusu mkataba huu na umuhimu wake kwa Taifa?

Nimeshangaa zaidi kwamba wakati Msigwa akitoa taarifa kuhusu mkataba huu wengi walikuwa wanambeza kwamba hajui anachokifanya akiwemo Kigogo mwenyewe na kushinikiza aondolewe, leo ukweli umejulikana kuwa Msigwa alikuwa sahihi ndio Kigogo anakuja na makala ndefu ya kudai Msigwa hajatimiza wajibu wake? Uonezi mkubwa.

Namkumhusha Kigogo kuwa Msigwa amezungumzia uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam mara nyingi katika mikutano yake ya Waandishi wa Habari na alieleza dhamira ya Serikali ya kutafuta wawekezaji kwa ajili ya kongeza ufanisi wa bandari hii.

Nikiwa mmoja wa wanaofuatilia kazi zinazofanywa na Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali nadiriki kusema shambulizi hili ni uonezi mkubwa na Kigogo anapaswa kujua anaotuandikia pia tuna akili za kujua mambo.

Nani asiyejua mageuzi makubwa ya Idara ya Habari wakati wa Dk. Hassan Abbas na mageuzi makubwa zaidi alitoyafanya Gerson Msigwa.

Ina maana Kigogo amesahau kuwa ni katika kipindi cha Msigwa Idara ya Habari imeanzisha taarifa za Msemaji Mkuu wa Serikali ambazo zilianza kutoka kila wiki kiasi cha kuonekana zinachosha na mikutano ya taasisi za Serikali ambayo hufanyika mfurulizo katika kipindi ambacho Bunge halikutani?

Nani asiyejua kuwa Msigwa kaja na kitengo cha Idara ya Habari MAELEZO kinachorusha matangazo mbashara kama ilivyo Ikulu na sasa vyombo vya habari vinapata matangazo ya shughuli mbalimbali za Serikali moja kwa moja kwenye newsrooms zao?

Ni Msigwa huyuhuyu kaanzisha Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo anawaleta Mawaziri na wanaulizwa na kujibu maswali papo hapo.

Ni Msigwa huyu huyu ametengeneza studio na yupo mbioni kuanzisha Kipindi Maalum cha Ongea na Waziri, na amewaonesha Waandishi wa Habari wa Dodoma gari la matangazo kwa ajili ya kufanya matangazo ya nje.

Nimejiuliza sana ina maana Kigogo hasikii jinsi Msigwa anavyopambana kukabiliana na uposhaji mbalimbali unapotokea? Kwamba Kigogo hamuoni Msigwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni.

Kwamba Kigogo haoni majarida ya Nchi Yetu kutoka Idara ya Habari MAELEZO ya Mtandaoni na nakala ngumu?

Kwamba Kigogo haoni Makala ya Kazi Iendelee inayorushwa na TBC

Kwamba Kigogo haoni clip za video zinazotengenezwa na Idara ya Habari kila siku na kusambazwa mitandaoni tena nyingine hata yeye huwa anapost

Kwamba Kigogo haoni pages za Msigwa na za Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali za Mtandaoni na jinsi anavyoipambania Serikali ya Rais Samia?

Kwamba hamsikii Msigwa akiwa kwenye matukio mbalimbali?

Lakini Je, Kigogo anajua kazi zingine anazozifanya Msigwa ambazo pengine hazionekani machoni.

Nadhani kwenye hili Kigogo kachemka, na ni vizuri atafute shutuma zingine dhidi ya Msigwa na Idara ya Habari. Hii hapana, mwacheni kijana afanye kazi.

Tena kibaya zaidi anagombanishwa na aliyemteua yaani Rais. Hili jambo linakwaza sana.

Nikiwa ni mmoja wa vijana wanaojifunza kutoka kwa Msigwa, sijafurahishwa na post ya Kigogo na nimeona niandike hapa.

Msigwa piga kazi, Watanzania tunaona unachokifanya kwa ajili ya Serikali yetu na Rais wetu.
Maelezo ni meeengi, hebu tuambie msigwa kasema dili litakua la muda gan?
 
Baada ya Gerson Msigwa kutoa Elimu kuhusu azimio la Bunge na Uwekezaji wa Bandari ya Dar, Wananchi sasa wamejua ukweli.

Ni Jukumu letu Watanzania kuunga Mkono Juhudi zake kwani waliokuwa wanapotosha kuhusu Uwekezaji wa Bandarini sasa wameelewa ukweli. Watu walidanganywa kwamba Bandari zote za Tanzania zinachukuliwa na mwarabu kwa mkataba usio na kikomo. Sasa watu wote wameelewa zilikuwa propaganda za kuzua taharuki na uongo kutoka kwa watu wanaoitakia Mabaya Tanzania.

Kila Mtanzania anapaswa kuunga Mkono juhudi zinazo fanywa na Gerson Msigwa, vita ya kiuchumi haijawahi kuwa nyepesi.

View attachment 2660840
Gerson Msigwa

Leo asubuhi nimesoma post ya Kigogo wa Twitter akimshambulia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa na Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwa wamezembea kutoa elimu kuhusu mkataba wa Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu uwekezaji katika bandari.

Nimeshangaa sana kwamba kwa zaidi ya wiki mbili hata kabla mkataba huu haujasomwa Bungeni ina maana Kigogo alikuwa haoni jinsi Msigwa alivyokuwa akitoa maelezo kuhusu mkataba huu na umuhimu wake kwa Taifa?

Nimeshangaa zaidi kwamba wakati Msigwa akitoa taarifa kuhusu mkataba huu wengi walikuwa wanambeza kwamba hajui anachokifanya akiwemo Kigogo mwenyewe na kushinikiza aondolewe, leo ukweli umejulikana kuwa Msigwa alikuwa sahihi ndio Kigogo anakuja na makala ndefu ya kudai Msigwa hajatimiza wajibu wake? Uonezi mkubwa.

Namkumhusha Kigogo kuwa Msigwa amezungumzia uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam mara nyingi katika mikutano yake ya Waandishi wa Habari na alieleza dhamira ya Serikali ya kutafuta wawekezaji kwa ajili ya kongeza ufanisi wa bandari hii.

Nikiwa mmoja wa wanaofuatilia kazi zinazofanywa na Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali nadiriki kusema shambulizi hili ni uonezi mkubwa na Kigogo anapaswa kujua anaotuandikia pia tuna akili za kujua mambo.

Nani asiyejua mageuzi makubwa ya Idara ya Habari wakati wa Dk. Hassan Abbas na mageuzi makubwa zaidi alitoyafanya Gerson Msigwa.

Ina maana Kigogo amesahau kuwa ni katika kipindi cha Msigwa Idara ya Habari imeanzisha taarifa za Msemaji Mkuu wa Serikali ambazo zilianza kutoka kila wiki kiasi cha kuonekana zinachosha na mikutano ya taasisi za Serikali ambayo hufanyika mfurulizo katika kipindi ambacho Bunge halikutani?

Nani asiyejua kuwa Msigwa kaja na kitengo cha Idara ya Habari MAELEZO kinachorusha matangazo mbashara kama ilivyo Ikulu na sasa vyombo vya habari vinapata matangazo ya shughuli mbalimbali za Serikali moja kwa moja kwenye newsrooms zao?

Ni Msigwa huyuhuyu kaanzisha Clubhouse ya Msemaji Mkuu wa Serikali ambapo anawaleta Mawaziri na wanaulizwa na kujibu maswali papo hapo.

Ni Msigwa huyu huyu ametengeneza studio na yupo mbioni kuanzisha Kipindi Maalum cha Ongea na Waziri, na amewaonesha Waandishi wa Habari wa Dodoma gari la matangazo kwa ajili ya kufanya matangazo ya nje.

Nimejiuliza sana ina maana Kigogo hasikii jinsi Msigwa anavyopambana kukabiliana na uposhaji mbalimbali unapotokea? Kwamba Kigogo hamuoni Msigwa kwenye vyombo vya habari na mitandaoni.

Kwamba Kigogo haoni majarida ya Nchi Yetu kutoka Idara ya Habari MAELEZO ya Mtandaoni na nakala ngumu?

Kwamba Kigogo haoni Makala ya Kazi Iendelee inayorushwa na TBC

Kwamba Kigogo haoni clip za video zinazotengenezwa na Idara ya Habari kila siku na kusambazwa mitandaoni tena nyingine hata yeye huwa anapost

Kwamba Kigogo haoni pages za Msigwa na za Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali za Mtandaoni na jinsi anavyoipambania Serikali ya Rais Samia?

Kwamba hamsikii Msigwa akiwa kwenye matukio mbalimbali?

Lakini Je, Kigogo anajua kazi zingine anazozifanya Msigwa ambazo pengine hazionekani machoni.

Nadhani kwenye hili Kigogo kachemka, na ni vizuri atafute shutuma zingine dhidi ya Msigwa na Idara ya Habari. Hii hapana, mwacheni kijana afanye kazi.

Tena kibaya zaidi anagombanishwa na aliyemteua yaani Rais. Hili jambo linakwaza sana.

Nikiwa ni mmoja wa vijana wanaojifunza kutoka kwa Msigwa, sijafurahishwa na post ya Kigogo na nimeona niandike hapa.

Msigwa piga kazi, Watanzania tunaona unachokifanya kwa ajili ya Serikali yetu na Rais wetu.
 

Attachments

  • 9BC8AE38-4019-4533-B48C-69D05F440A8F.jpeg
    9BC8AE38-4019-4533-B48C-69D05F440A8F.jpeg
    51.3 KB · Views: 7
  • 127D4F1E-36F6-48F8-915D-47945E100BA7.jpeg
    127D4F1E-36F6-48F8-915D-47945E100BA7.jpeg
    140.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom