imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,433
Wala usimchinje mbane na mlango,halafu umle na familia yako mbona mswano tu.Mm siwez kununua mbuzi wangu tena kwa hela yangu halaf unipangie wa kuchinja! Nasema haiwezekani ! Kila mtu atachinja kilicho chake! Huu mchezo wa kuchunguliana lazima ukome!