Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

Mm siwez kununua mbuzi wangu tena kwa hela yangu halaf unipangie wa kuchinja! Nasema haiwezekani ! Kila mtu atachinja kilicho chake! Huu mchezo wa kuchunguliana lazima ukome!
Wala usimchinje mbane na mlango,halafu umle na familia yako mbona mswano tu.
 
Siku hizi hakuna Alal kitabu kuna mazoun na wakristo ahlal kitabu ni wale wanapo sikua aya za qur-an husujudu na kukubali ila hawa wakaao kwenye mabench sio ahlal kitabu ni wa shirikina tu ni haramu kula kilicho chinjwa na wao
Unaweza kutupa dalili?
 
Nilifikiri unaongelea kuchinja binadamu kama wanavyofanya ISIS, Boko Haram, Al Shabaab na wengineo. Hapo ningekupa jibu la moja kwa moja
 
Kuna mzee mmoja swala tano halafu msomi

Aliwahi kuniambia swala la uchinjaji limekaa kipuuzi puuzi tu kila MTU anaweza kuchija Ila mradi sema "Mungu mkubwa" halafu unapitisha kisu chako swafi kabisa

Akanipa kuku wake nikachinja(mi mgalatia ) na tukamla safi kabisa yeye na familia yake

Haahhahahh

Sasa kuna wale waliokoleza dini kichwani na elimu hamna hawa wanaweza kukupiga mawe wanasema unawalisha "najisi" sijui kibudu yaaani tabu tupu
 
Ujinga huo mim sina NACHINJA MWENYEWE MFUGO WANGU,, Awe Nguruwe,, Jogoo,, Mbuzi Sihitaji mfugo wangu uelekezwe Kibla nachinja TU,,

Sisi Mungu wetu siyo Kama King,amuzi kwamba lazima dish lielekee upande Fulani ndo upate Chanel,,

Sisi pande zote Mungu wetu anaona na kusikia maombi yetu.,, iwe wakt wa kuchinja,, kuombea uponyaji nk pande zote yupo TU.
 
Sawa ila jaribu kumuelewesha mtu bila kutumia lugha kali

Lugha kali sio kumjibu mpu.mbaav bali lugha kali ni ku quote Kuran tukufu visivyo. Ingelikuwa enzi hizo au nchi nyingine, ni kumtangazia Fatwa tu tukione kichwa chake mezani. Hiyo ndo lugha kali
 
Sio siku nyingi,tulikuwa tunakula mizoga,ujio wa dini za kigeni ndio umekuja kutubadilisha.
 
No hamna aya muumini mwanaume ataoa muumini mwanamke mshirikina ataoa mshirikina mwenzake mzinifu watapata na wazinifu wenzake
 
Asee swala la kuchinjiwa hilo nalipinga kabisaa
Nachinja mwenyewe asiyetaka asile.
 
Nakumbuka zogo LA mwanza jamani juu ya waisilam na wakristo kuusu kuchinja daaaah mimi nachinja mwenyewe eti kunasiku nyumban akikuja mgen muislam basi nikaambiwa nipeleke kuku kushinja kwa said yani ninyumba ya 10 nikaona huo ni upuuzi nikazunguka nyama tuuu nikafanya yangu


Ulikuwa mjanja kweli asee
 
Lugha kali sio kumjibu mpu.mbaav bali lugha kali ni ku quote Kuran tukufu visivyo. Ingelikuwa enzi hizo au nchi nyingine, ni kumtangazia Fatwa tu tukione kichwa chake mezani. Hiyo ndo lugha kali
Sawa but kumbuka maneno matamu hushawishi zaidi kuliko maneno makali
 
Ujinga huo mim sina NACHINJA MWENYEWE MFUGO WANGU,, Awe Nguruwe,, Jogoo,, Mbuzi Sihitaji mfugo wangu uelekezwe Kibla nachinja TU,,

Sisi Mungu wetu siyo Kama King,amuzi kwamba lazima dish lielekee upande Fulani ndo upate Chanel,,

Sisi pande zote Mungu wetu anaona na kusikia maombi yetu.,, iwe wakt wa kuchinja,, kuombea uponyaji nk pande zote yupo TU.

Ndo maana twasema; mwala kibudu mnakataa. Kisicho andaliwa ipasavyo ni kufru tuu wala si vinginevyo. Nyiye hata zoga la mbwa mwala tu
 
Back
Top Bottom