Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

Sio kweli muislam hali kilicho chinjwa na mkristo kabisa hata mayahudi hawali kilicho chinjwa na mkristo
 
Namsubiri kwa shauku yote alete hizo methali zlizoziskia vijiweni na sio aya kwa sababu aya hiyo haipo
Uislamu ulianza ukiwa mgeni kwa watu na utarejea ktk hali ya ugeni kama ulivyoanza. Aya hiyo nimeshaweka hapo ambayo pia inaruhusu mwanaume muislamu kumuoa mwanamke mkristo au myahudi. Ni ktk muktadha gani...H/work.
 
Dini zote hizi zianafuata mila za nabii ibrahim,ila kutokakana na sababu zisizoeleweka ndugu zetu wakristo wailona waachane na mila hizo.
 
Sio kweli muislam hali kilicho chinjwa na mkristo kabisa hata mayahudi hawali kilicho chinjwa na mkristo
Hapa hatuzungumzii muislamu mmoja mmoja twazungumzia sheria ya kiislamu juu ya vichinjwa vya ahlul kitab (watu waliopewa kitabu; mayahudi & wakristu)
 
Mimi nimeishi katika jumuiya ya watu mbalimbali na wa dini zote.

Cha kushangaza inapofika sikukuu au wamenunua jogoo basi watu hutafutwa kwa ajili ya kuchinja, japokuwa wanaume wapo.

Nimekula sana shingo mchuzi hata vibawa kwa kazi hiyo. Ndio nauliza; Je, kuna madhehebu ya wakristo wanakataza kuchinja?
Ukitaka wasije watu wengi kwenye mnuso basi chinja mwenyewe wewe unayeitwa Emmanuel na hakikisha waalikwa wamejua kuwa umechinja wewe!
 
Ni vema kufanya hivyo kutokana na ugeni wa uislamu kwa waislamu walio wengi. Ila kiuhalisia waislamu wanaruhusiwa kula kilichochinjwa na wakristu pia mayahudi kwani ktk Qur-ani ipo aya inaruhusu kula vilivyochinjwa na watu walioteremshiwa Taurati na Injili. Ila si halali kula kilichochinjwa na mshirikina hata kama ni muislamu kama wale wanaojitia kutibu kwa kutumia majini na wapiga nyota.
Pia ktk uislamu mwanamke aruhusiwa kuchinja.

cDNA;
Umesoma Kuran ipi weye?? Acha kupotosha watu. Kama una uchu wa kula mizoga kula mwenyewe. Usiwe na tabia ya kutamka usokijua.
 
Wakristo sio tu kwamba haturuhusiwi kuchinja, tunaweza na tunaruhusiwa kula chochote isipokua nyamafu tu. Tukiamua kuchinja wenyewe hakuna tatizo lolote kwa upande wetu, tatizo jamii zetu zimeingiliana na kuna ukaribu wa hali ya juu sana na ujirani kati ya waumini wa dini hizi mbili, sasa kwa wengine hawaruhusiwi kula kilichochinjwa bila kufuata taratibu zao, kuamua kuchinja wenyewe italeta kuwanyima ushiriki wa hao ndugu na jamaa zetu.

Tunafanya hivyo kwa kuweka maelewano tu na kujumuika, kuchinja tunaweza sana. Kama hatuwezi, mnyama nani hua anachinja?
Huwa mnachinja kwa kutaja jina la Mungu gani?
 
Siku hizi hakuna Alal kitabu kuna mazoun na wakristo ahlal kitabu ni wale wanapo sikua aya za qur-an husujudu na kukubali ila hawa wakaao kwenye mabench sio ahlal kitabu ni wa shirikina tu ni haramu kula kilicho chinjwa na wao

The Christians and the Jews of the People of the Book in our times are indeed those People of the Book that are mentioned in the texts of shari'ah in the Qur'an and sunnah, and they are the unbelievers of the Jews and Christians that existed at the time of the Prophet (peace be upon him). They are the people of the corrupted Torah and corrputed Injeel, as evidenced by the fact that Allah (swt) addressed them and named them "People of the Book" despite their being unbelievers and their books being corrupted, as indicated in the following interpretations of the meanings of the aayaat:

Aala 'imran: 70:

O People of the Book! why do you reject the Signs of Allah, of which you are (yourselves) witnesses?

Al-maa'ida: 15:

O People of the Book! there has come to you Our Messenger, revealing to you much that you used to hide in the Book, and passing over much (that is now unnecessary): There has come to you from Allah a (new) light and a perspicuous Book.

Al-hashr: 2: (in regards to the Battle of Bani al-Nadeer):

It is He Who got out the among the People of the Book from their homes at the first gathering (of the forces)…

These unbelievers among the People of the Book have certain abrogating qualities distinguishing them from the rest of the unbelievers, by virtue of the fact that they are recipients of heavenly guidance and are people of previously revealed divine books—even though they corrupted them—unlike the remainder of the unbelievers who have neither a previous book nor messenger, such as the Hindus, the Sikhs, the Buddhists, the communists, and others.

Because of this distinguishing quality, the shari'ah has specified special rulings particular to the People of the Book, and exceptions specific to them in some rulings, such as allowing marriage to the the chaste and virtuous (whether virgins or previously married) among their women and the permissibility of eating their slaughtered meat, as indicated in the following ayah (interpretation of the meaning):

Maa'ida: 5

This day are (all) things Good and pure made lawful unto you. The food of the People of the Book is lawful unto you and yours is lawful unto them. (Lawful unto you in marriage) are (not only) chaste women who are believers, but chaste women among the People of the Book, revealed before your time, when you give them their due dowers, and desire chastity, not lewdness, nor secret intrigues…

UPDATE!
The preceding discussion is in regards to the general ruling with respect to slaughtered meat of the People of the Book; as for the specifics, the slaughtered meat of People of the Book can be one of several cases:

That he slaughters it via the known way specified by shari'ah and he speaks the name of Allah upon it. In this case there is no problem in the permissibility of eating it.

That he does not slaughter it by the way specified by shari'ah as is the case if he chokes it or electrocutes it until it dies or drowns it in water until it dies or kills it by a bullet, etc. In this case there is no doubt that eating it is forbidden since it is maita (meat of an animal that has died without properly being slaughtered) and Allah has forbidden it in the Qur'an (interpretation of the meaning): "… and forbidden unto you is maita…" (al-Maa'ida:3)
That he mentions the name of someone or something other than Allah upon it as he is slaughtering, such as the Messiah or otherwise. Likewise there is no doubt that the meat in this case is haraam, since it is among what has been dedicated to other than Allah, which is specifically forbidden in the ayah in surat al-Maa'ida: 3 (interpretation of the meaning): "Forbidden to you (for food) are: maita, blood, the flesh of swine, and that on which has ben invoked the name of other than Allah; that which has been killed by strangling or by a violent blow…"

That we receive their meat and we don't know if it has been slaughtered properly or not. In this case the rule of thumb is that if we don't know the way of slaughter, the default is that it is permitted if it has been slaughtered by Muslims or Ahl il-Kitaab (Fatawa Islamiyya, Sheikh Abdel-Aziz Bin Baz, 3/404), as per the generally encompassing ayah (interpretation of the meaning) "and the food of the people to whom have been revealed the Book is permitted for you." (al-Maa'ida:5) If it becomes evident to us that they have not slaughtered it properly then it would not be permisible.

That we receive their meat and we don't know what they have mentioned upon it, and in this case likewise the preferrable and recommended opinion is the permissibility of eating it, as per the hadith in Sahih al-Bukhari via Aa'isha (may Allah be pleased with her) that some people said to the Prophet (peace be upon him) that a people come to them with meat which they do not know whether they have mentioned the name of Allah upon it or not. The Prophet replied "Mention the name of Allah upon it and eat it."
 
cDNA;
Umesoma Kuran ipi weye?? Acha kupotosha watu. Kama una uchu wa kula mizoga kula mwenyewe. Usiwe na tabia ya kutamka usokijua.
Ninasoma ile Qur-ani ambayo nyie mwaisoma...Lete dalili kuthibitisha ninavyokupotosheni.....
Ukitaka faida zaidi google "103: Permissibility of eating meat slaughtered by Christians and Jews"
 
Back
Top Bottom