Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

Hivi dini zingine hawaruhusiwi kuchinja?

Nakumbuka zogo LA mwanza jamani juu ya waisilam na wakristo kuusu kuchinja daaaah mimi nachinja mwenyewe eti kunasiku nyumban akikuja mgen muislam basi nikaambiwa nipeleke kuku kushinja kwa said yani ninyumba ya 10 nikaona huo ni upuuzi nikazunguka nyama tuuu nikafanya yangu
 
Ninasoma ile Qur-ani ambayo nyie mwaisoma...Lete dalili kuthibitisha ninavyokupotosheni.....
Ukitaka faida zaidi google "103: Permissibility of eating meat slaughtered by Christians and Jews"

google imeanza lini?? Wataka leta haya mambo ya kuuchafua msahafu mtakatifu hapa?? Msahafu haukuletwa na google yako ujue. Kelb sana tu
 
Wakristo sio tu kwamba haturuhusiwi kuchinja, tunaweza na tunaruhusiwa kula chochote isipokua nyamafu tu. Tukiamua kuchinja wenyewe hakuna tatizo lolote kwa upande wetu, tatizo jamii zetu zimeingiliana na kuna ukaribu wa hali ya juu sana na ujirani kati ya waumini wa dini hizi mbili, sasa kwa wengine hawaruhusiwi kula kilichochinjwa bila kufuata taratibu zao, kuamua kuchinja wenyewe italeta kuwanyima ushiriki wa hao ndugu na jamaa zetu.

Tunafanya hivyo kwa kuweka maelewano tu na kujumuika, kuchinja tunaweza sana. Kama hatuwezi, mnyama nani hua anachinja?
Umejibu vizuri mkuu!
 
Wakristo sio tu kwamba haturuhusiwi kuchinja, tunaweza na tunaruhusiwa kula chochote isipokua nyamafu tu. Tukiamua kuchinja wenyewe hakuna tatizo lolote kwa upande wetu, tatizo jamii zetu zimeingiliana na kuna ukaribu wa hali ya juu sana na ujirani kati ya waumini wa dini hizi mbili, sasa kwa wengine hawaruhusiwi kula kilichochinjwa bila kufuata taratibu zao, kuamua kuchinja wenyewe italeta kuwanyima ushiriki wa hao ndugu na jamaa zetu.

Tunafanya hivyo kwa kuweka maelewano tu na kujumuika, kuchinja tunaweza sana. Kama hatuwezi, mnyama nani hua anachinja?
Point well made fellow
 
Mimi nimeishi katika jumuiya ya watu mbalimbali na wa dini zote.

Cha kushangaza inapofika sikukuu au wamenunua jogoo basi watu hutafutwa kwa ajili ya kuchinja, japokuwa wanaume wapo.

Nimekula sana shingo mchuzi hata vibawa kwa kazi hiyo. Ndio nauliza; Je, kuna madhehebu ya wakristo wanakataza kuchinja?
Mi nadhani wanaruhusiwa kuchinja, ila ili kujenga mahusiano mema ya kijamii huwaalika ndg zao wa kiislam...
 
Mimi nimeishi katika jumuiya ya watu mbalimbali na wa dini zote.

Cha kushangaza inapofika sikukuu au wamenunua jogoo basi watu hutafutwa kwa ajili ya kuchinja, japokuwa wanaume wapo.

Nimekula sana shingo mchuzi hata vibawa kwa kazi hiyo. Ndio nauliza; Je, kuna madhehebu ya wakristo wanakataza kuchinja?
Mm siwez kununua mbuzi wangu tena kwa hela yangu halaf unipangie wa kuchinja! Nasema haiwezekani ! Kila mtu atachinja kilicho chake! Huu mchezo wa kuchunguliana lazima ukome!
 
google imeanza lini?? Wataka leta haya mambo ya kuuchafua msahafu mtakatifu hapa?? Msahafu haukuletwa na google yako ujue. Kelb sana tu
C ktk mafunzo ya dini ya uislamu kutukana hata kama upo nyuma ya keypad/keyboard...hiyo niliyokuwekea hapo ni fatawa ungefaidika mno kama ungeipitia.
 
Maa'ida: 5

"This day are (all) things Good and pure made lawful unto you. The food of the People of the Book is lawful unto you and yours is lawful unto them. (Lawful unto you in marriage) are (not only) chaste women who are believers, but chaste women among the People of the Book, revealed before your time, when you give them their due dowers, and desire chastity, not lewdness, nor secret intrigues…"

Kwa ufafanuzi zaidi wa kadhia hiyo rejea: Fatawa Islamiyya, Sheikh Abdel-Aziz Bin Baz, 3/404.
The food as opposed to slaughted meat! Chakula hakuna shida. Yaani ugali na kisamvu au mchicha au samaki au maharage hauna shida. Shida inakuja kwenye mbuzi et al.
 
Mbona mie juzi weekend nimechinja mbuzi, hizo imani zenu zimekuja juzi tu ndio muone zina maaana sana hadi kwenye mambo ya kawaida yaliyokuwa yanafanyika vizuri tu kabla
 
C ktk mafunzo ya dini ya uislamu kutukana hata kama upo nyuma ya keypad/keyboard...hiyo niliyokuwekea hapo ni fatawa ungefaidika mno kama ungeipitia.

kawafaidishe wagalatia wenzio. Nasoma msahafu sisomi ushuzi wa mgalatia
 
The food as opposed to slaughted meat! Chakula hakuna shida. Yaani ugali na kisamvu au mchicha au samaki au maharage hauna shida. Shida inakuja kwenye mbuzi et al.
wale ambao walishuhudia aya hiyo iliposhuka hawakufahamu hivyo unavyofahamu wewe. Wao walifahamu vyakula vyote ikiwemo vichinjwa.
 
Namsubiri kwa shauku yote alete hizo methali zlizoziskia vijiweni na sio aya kwa sababu aya hiyo haipo
Unauhakika haipo?
Soma Qur-aan. Hutakuta aya hata moja inayokataza kula kilichochinjwa na myahudi au mkiristo.

Bali utakuta aya inayoturuhusu kula vyakula vyao na kuwaoa wanawake wao walio wema na wabaki na dini yao
 
Mkuu CleverKING "haruhusiwa" maana yake nini?
 
Back
Top Bottom