BAHARI J
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 932
- 1,159
Nakumbuka zogo LA mwanza jamani juu ya waisilam na wakristo kuusu kuchinja daaaah mimi nachinja mwenyewe eti kunasiku nyumban akikuja mgen muislam basi nikaambiwa nipeleke kuku kushinja kwa said yani ninyumba ya 10 nikaona huo ni upuuzi nikazunguka nyama tuuu nikafanya yangu