Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,285
Kama upo hai bado utambue wazi kwamba huwezi kuzuia jua kwa mikono, Seya yupo huru sasa ila kama imekuuma unaweza kumbambikia kesi nyingine kwamba amekulawiti ili arudishwe gerezani!Mkuu hebu kuwa serious
Huyo jamaa ana kesi ya ulawiti wa watoto wetu..Tena anafaa aozee jela milele
Hilo kosa alilofanya halipaswi kuvumiliwa kwenye jamii yetu
Avune alichopanda
Na wewe kama unammisi babu seya mlawiti unatia shaka