Hivi Babu Seya hawezi kusamehewa?

B
tatizo lenu bavicha ni kubwa sana; sidhani hata mnaelewa alichokifanya Rais Jana ni nini? ?

Kwa kuwasaidia tu Rais ametoa MSAMAHA kwa wafungwa haimaanishi kuwa kabatilisha hukumu ya mahakama. Hukumu ya mahakama inabatilishwa na maamuzi ya mahakama ya juu pekee.

Hivyo msamaha uliotolewa haumaanishi kuwa wahusika hawakutenda makosa; swala la kutenda au kutotenda limeshaamuliwa na mahakama.

Kilichopo sasa ni msamaha wa Rais jambo ambalo Lipo ndani ya utashi wake kwakua anamadaraka hayo kikatiba.
bt mi nimekukumbusha ila naona unaruka futi mia haya tujifunze kuweka akiba za maneno
 
Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!
stroke umeshikwa ukashikika hapa ha ha ha..
Kama kilivyomsamehe mfoji vyeti DAB na mafisadi na wahujumu uchumi.
Now
Chama chako kimetenda hayo yote in front of you..
 
  • Thanks
Reactions: SMU
tatizo lenu bavicha ni kubwa sana; sidhani hata mnaelewa alichokifanya Rais Jana ni nini? ?

Kwa kuwasaidia tu Rais ametoa MSAMAHA kwa wafungwa haimaanishi kuwa kabatilisha hukumu ya mahakama. Hukumu ya mahakama inabatilishwa na maamuzi ya mahakama ya juu pekee.

Hivyo msamaha uliotolewa haumaanishi kuwa wahusika hawakutenda makosa; swala la kutenda au kutotenda limeshaamuliwa na mahakama.

Kilichopo sasa ni msamaha wa Rais jambo ambalo Lipo ndani ya utashi wake kwakua anamadaraka hayo kikatiba.
Hahah ila nyie majamaa kwa kujitoa ufahamu hamjambo. Kwa hiyo Lowasa alitaka kubatilisha hukumu?!
 
tatizo lenu bavicha ni kubwa sana; sidhani hata mnaelewa alichokifanya Rais Jana ni nini? ?

Kwa kuwasaidia tu Rais ametoa MSAMAHA kwa wafungwa haimaanishi kuwa kabatilisha hukumu ya mahakama. Hukumu ya mahakama inabatilishwa na maamuzi ya mahakama ya juu pekee.

Hivyo msamaha uliotolewa haumaanishi kuwa wahusika hawakutenda makosa; swala la kutenda au kutotenda limeshaamuliwa na mahakama.

Kilichopo sasa ni msamaha wa Rais jambo ambalo Lipo ndani ya utashi wake kwakua anamadaraka hayo kikatiba.
Name="stroke" post=19253191]

"""Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!"""

This was your comment mkuu, read between the lines. Ulionesha kwamba haiwezekani kuwasamehe wakosaji hasa baada ya vyombo vya kisheria kama MAHAKAMA kutoa maamuzi yake, leo mkuu unaongea vitu gani!!?? Usifikiri watu hawana mawazo ndugu. Nilidhani kukaa kimya ingekua busara kwako baada ya hili kutokea.
 
Hilo ni tatizo linalowakumba watu wanaoshabikia mambo kisiasa...ataunga mkono au kupinga hoja kwa ile misingi ya " imetoka upande wetu".
Hili ndiyo jibu, naona Stroke anajaribu kuruka maneno yake ya wakati huo. Akubali tu kwamba alikua bendera na sasa anaendelea kuwa bendera. Hana misingi anayosimamia yeye kama yeye, ila kwa sababu limetoka upande wetu basi liko SAHIHI TU.
 
Back
Top Bottom