kilokiki
JF-Expert Member
- May 3, 2016
- 1,374
- 2,837
Siasa tamu sanayule mzee seya ana kosa..he did it....alifanya kosa...tatizo tunapenda sana siasa
Siasa tamu sanayule mzee seya ana kosa..he did it....alifanya kosa...tatizo tunapenda sana siasa
Teh teh teh teh....Mkuu, hivi kuna kazi nyingine unafanyaga? Mbakaji na Mlawiti utamsameheje?
Sina Kazi mkuu Ajira rais wako si kasitisha Kazi yangu ni hii tu mpaka Ajira zitakapotoka...
Kwi...kwi...kwi.....
Njoo ufute hii post ila mimi kwenye hii quote siifutiakiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
Jamani stroke.Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!
Lumumba mnasikitisha sanaLowassa tu ndo anweza samehe wabakaji na walawiti.
Si katika viongozi wanaofuata sheria.
mkuu hukuweka akiba ya manenoYani unaacha kuwahurumia wazee na wagonjwa waliofungwa kwa makosa ya wizi wa kuku na bata,unahurumia wabakaji?wacha wafie huko,watu kama babu seya hawatakiwi ktk jamii ya watanzania.
haya haya mbakaji na mlawiti kasamehewa.. jamana washabiki wa CCM wanaumbuka sana awamu hii. mimi nawashauri muwe na akiba ya maneno tu ndugu zangu wa ccm mtazidi kuumbuka.Mkuu, hivi kuna kazi nyingine unafanyaga? Mbakaji na Mlawiti utamsameheje?
sera ya ukawa yatimia... aibu yenuuHiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!
aibu yao!!Baba yetu namwita yeye mfalmee, sinung'uniki sina viatu wengine hawana miguu,si Kazi yako ni ya mamani. [HASHTAG]#TunafukuaMakaburi[/HASHTAG].
Huna soni weweMkuu, hivi kuna kazi nyingine unafanyaga? Mbakaji na Mlawiti utamsameheje?
Maneno ya mkosajiakiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
Technologia inavoiumbua siasa.Mkuu, hivi kuna kazi nyingine unafanyaga? Mbakaji na Mlawiti utamsameheje?
Ah..ah...ahHiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!
Kwi kwi..kwiakiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
With confidenceLowassa tu ndo anweza samehe wabakaji na walawiti.
Si katika viongozi wanaofuata sheria.
Daaaa! umenikumbusha kibwagizo fulani
" vaa vizuri mpenzi wangu upendezee
Donge liwashike,mabusu moto moto
mimi nawewe mpaka kufaaa
Uuuuuuusiwasikilize hao wanaotaka kuharibu mapeeenzi yetu""
anyway Mungu ndio anajua kama kweli walifanya hicho kitendo,duniani ni ubatili mtupu
Tawi la ccm mitandaoni
Nimekusoma mkuuJukwaa hili ni tamu mno!
Haki vile Long live jf