mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
JK atachomoka hapo???
Tawi la ccm mitandaoniLowassa tu ndo anweza samehe wabakaji na walawiti.
Si katika viongozi wanaofuata sheria.
Nimepata mwanga kidogo hapo kumbe ndivyo ilivyo.....technically,kesi ya babu seya sio yeye ndio kabaka, ila alikua anawadanganyia watoto, wanabakana halafu yeye anachukua picha, anatengeneza movie anaenda kuuza nje.
na ndio maana kesi yake ni ya kuwazalilisha watoto kingono,usiombe ujinga huu atokee muhuni mmoja mtaani kwako akawafanyia hivyo watoto wako au wadogo zako,utatani ukamchinje mwenyewe kwa mkono wako.
watu wengi wanaifafanua kesi hii kishabiki. hawaifaham vizuri.
Wakuu Leo nimemkumbuka sana babu Seya..
Nimekumbuka kesi yake ya ubakaji hivi waliobakwa wako wapi wazazi wao hawawezi kumsamehe kama ni kweli .
He Serikali kama inaweza kuwasamehe waahujumu uchumi kama Mramba na Yona inashindwa nini kumsamehe babu yetu kifungo chake mbona ni kikali sana?.
Mbona watu wengi wanasamehewa tu kwa Babu yetu kosa lake hasa ni lipi?.
Wanasheri mnisaidie lakini Mimi ninachojua kesi yake sio kesi ya kawaida.
Ningependa kama Serikali inaweza kuwaachia wahujumu uchumi inashindwa nini kumuachia Babu yetu.
Nimekumiss sana Babu Seya..
Watu bado wana fikra za mtaani, eti wimbo wa salima umemgombanisha na JK. Tz bana. Hilo ndo kosa alilolitenda. Msamaha utoke wapi hapo?technically,kesi ya babu seya sio yeye ndio kabaka, ila alikua anawadanganyia watoto, wanabakana halafu yeye anachukua picha, anatengeneza movie anaenda kuuza nje.
na ndio maana kesi yake ni ya kuwazalilisha watoto kingono,usiombe ujinga huu atokee muhuni mmoja mtaani kwako akawafanyia hivyo watoto wako au wadogo zako,utatani ukamchinje mwenyewe kwa mkono wako.
watu wengi wanaifafanua kesi hii kishabiki. hawaifaham vizuri.
Lakini wewe ni Mwanzo wako wa kufikiri? Au?Siamini kama huu ndio mwisho wako wa kufikiri
Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!


mahakama zetu sidhani kama ni huru

Watu bado wana fikra za mtaani, eti wimbo wa salima umemgombanisha na JK. Tz bana. Hilo ndo kosa alilolitenda. Msamaha utoke wapi hapo?
Kwani alikosa nini?Wakuu Leo nimemkumbuka sana babu Seya..
Nimekumbuka kesi yake ya ubakaji hivi waliobakwa wako wapi wazazi wao hawawezi kumsamehe kama ni kweli .
He Serikali kama inaweza kuwasamehe waahujumu uchumi kama Mramba na Yona inashindwa nini kumsamehe babu yetu kifungo chake mbona ni kikali sana?.
Mbona watu wengi wanasamehewa tu kwa Babu yetu kosa lake hasa ni lipi?.
Wanasheri mnisaidie lakini Mimi ninachojua kesi yake sio kesi ya kawaida.
Ningependa kama Serikali inaweza kuwaachia wahujumu uchumi inashindwa nini kumuachia Babu yetu.
Nimekumiss sana Babu Seya..
Watu bado wana fikra za mtaani, eti wimbo wa salima umemgombanisha na JK. Tz bana. Hilo ndo kosa alilolitenda. Msamaha utoke wapi hapo?
Wewe utakuwepo huo mwaka?akiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
Kumbe na wewe una amini Lowasaa atakuja kuwa Rais wa JMT, sasa nikuambie 2050 ni mbali sana, ni hapo karibu tu 2020akiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
Mmmmmhhh sawa inaoneka una datahalafu jamaa mwenyewe ndie alieustukia huu mchezo,si unajua ni mtu wa kujichanganya,
wakati yupo dunia huko amemuona jamaa yake mzungu anachek,jamaa kahoji nini hicho!mzungu akamjibu unashangaa wakati mambo ya kwenu haya!
ukumbuke kuna watu wengine hawana ashk hadi waone vitu vya namna hiyo.
basi jamaa akashangaa kuona ni vitoto.ukumbuke pia kipindi kile jamaa alikua wa mambo ya duniani kama mwenyewe anavyosemaga.
alipoludi tu ndio wakatuma wapelelezi na kwakua muhusika keshazoea michezo yake,nakumbuka kipindi kile alikua tibaigana kama sijakosea akawanasa.
Askof mkuu wa kkkt alipinga ile kesi kwa kuhisi yazungumzwayo mtaani ni kweli, alipopewa ule ushaidi naskia ukristo aliuweka pembeni, akasema adhabu ni ndogo, anyongwe kabisa.halafu jamaa mwenyewe ndie alieustukia huu mchezo,si unajua ni mtu wa kujichanganya,
wakati yupo dunia huko amemuona jamaa yake mzungu anachek,jamaa kahoji nini hicho!mzungu akamjibu unashangaa wakati mambo ya kwenu haya!
ukumbuke kuna watu wengine hawana ashk hadi waone vitu vya namna hiyo.
basi jamaa akashangaa kuona ni vitoto.ukumbuke pia kipindi kile jamaa alikua wa mambo ya duniani kama mwenyewe anavyosemaga.
alipoludi tu ndio wakatuma wapelelezi na kwakua muhusika keshazoea michezo yake,nakumbuka kipindi kile alikua tibaigana kama sijakosea akawanasa.
Duh.......sema maneno ya mtaani yanakuwa kwa kasi kuliko ukwel wenyewAskof mkuu wa kkkt alipinga ile kesi kwa kuhisi yazungumzwayo mtaani ni kweli, alipopewa ule ushaidi naskia ukristo aliuweka pembeni, akasema adhabu ni ndogo, anyongwe kabisa.