Setelite iitwayo Juno imefika salama salimin katika sayari ya Jupiter. Setelie hii imefika saa 06:15 a.m. Setelite hii ilitumwa na jopo la wana sayansi wa marekani mwaka 2012. huu ndo mwaka wa tano ikiwa inasafiri tu.
Setelite hii itakaa huko kwa kiasi cha takriban mwaka mmoja na nusu, harafu itarudi dunian. itakuwa imechukua information mhimu kuhusu sayar ya jupiter.
Kumbuka kuwa sayar ya jupiter ni kubwa mno kiasa cha dunia kuingia mara 1000.
Funzo. waafrika tuache kulogana, fitina roho mbaya zisizo na misingi. wakat sisi tumeendekeza uchawi, fitina, umaskin, umbea, elimu za kuunga unga wenzetu wanarusha setelite kwa miaka mitano mpaka jupter. Kesho na kesho kutwa utasikia wameenda kuishi huko.