kibaa
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 717
- 177
Sema kwa Marekani na Mabepari wake na siyo dunia. Sisi huku kwetu bado tunahangaishwa na sukari sasa hiyo JUNO itatupatia sukari ya bei nafuu tunayoimudu?
Sema kwa Marekani na Mabepari wake na siyo dunia. Sisi huku kwetu bado tunahangaishwa na sukari sasa hiyo JUNO itatupatia sukari ya bei nafuu tunayoimudu?
Hivi wewe unayefikiria mahitaji yako ya hapa niliko na ya sasa hivi, jiulize hili: Isaac Newton na wenzake walikuwa na mawazo sampuli hiyo walipovumbua mifumo mbali mbali ya kisayansi/kiufundi?Faida za Juno Mission ni pamoja na uchunguzi wa mfumo mzima wa jua (zikiwemo sayari) jinsi hapo awali zilivyoundwa na kupata taarifa kwa jinsi mfumo ulivyo sasa na utakapokua hapo baadae. Sababu ya kufanya uchunguzi kwa sayari ya Jupiter ni kwa kua ni sayari kubwa kuliko zote hvyo inaaminika itakua na taarifa nyingi za "Mfumo wa Jua" kuliko sayari nyingine.
Na sisi tunajivunia kua na mabasi ya mwendo kasi, haya ni mafanikio pia
Sana. Nadhani tutajifunza mengi kwenye mission hiyoNi mafanikio makubwa kwa Dunia
Nani aliwapa akili, mnapenda kujidharau.Tukisema wenzetu walipewa akili watu watabisha wakati hapa kwetu mambo madogo kama uchaguzi tu watu wanakwiba kura je kuvumbua vitu si hadithi
Hizo ni story hakuna kitu kama hicho.Ndiyo wamefika Jupiter ila bado changamoto ipo. PLANET X a.k.a NIBIRU itafika lini hapa kutumaliza??????
mkuu hapa hakuna Mafanikio yeyote kwa Dunia Bali ni Uharibifu kwa Dunia.
Hawa wana sayansi ndiyo chanzo cha uaribifu, kila kukicha wana Mchokonoa Mungu.
Wewe unajua ni Athari gani zinaweza kutokea pindi makosa yanapotokea kwa wao kurusha vyombo hivyo kwenye sayari?
Embu tujiulize mabadiliko ya tabia nchi na ali ya hewa yanatokana na nini?
Magonjwa mbali mbali kwa wanadam, ambayo haya kuwepo yanatokana na nini?
Wanadamu watajiangamiza wenyewe kwa kujifanya wanajua maarifa kuliko Mungu.
Asikiaye na Afahamu.
Lazima useme hvyo maana huamini kama inawezekana af wenzako wanafanya hvyo ili kuinua upana wa akili zao kama wewe unavyofanya juhudi za kujua njia mpya za ufisadiKuna mafanikio gani wao kurusha hicho chombo kwenda huko Jupiter? Kwenda wakigundua kunafaa watu kuishi ndio wataenda huko?? Kama safari ya kwenda huko ni miaka mitano, it means ukitaka kuishi huko kwenda na kurudi duniani kuona ndugu zako itawachukua miaka 10 pekee kwaajili ya safari.. Hakuna chochote cha maana bora hizo sayansi zao wanazotudanganya nazo watengeneze dawa ya kutibu Ukimwi na Zika..
Wamarekani ni waongo sana.. Na si ajabu hata huko Jupiter hawajaenda ni kutafuta misifa tu..
Na sisi tunajivunia kua na mabasi ya mwendo kasi, haya ni mafanikio pia
Lazima useme hvyo maana huamini kama inawezekana af wenzako wanafanya hvyo ili kuinua upana wa akili zao kama wewe unavyofanya juhudi za kujua njia mpya za ufisadi