History in the making: NASA’s Juno spacecraft arrives at Jupiter!

History in the making: NASA’s Juno spacecraft arrives at Jupiter!

du
Baba horizon ilishaanza safari ya kurudi duniani itafika baafa ya miaka 9
du hawa jamaa wametupiga gap la technology mbali kabisa, kuna watu wamededicate elimu yao kwenye kitu kimoja tu, mfano new horizon au juno, hakuna kujaribu jaribu maisha.
 
Hahahahaha wametuacha mbali sana sisi bado tuko kwenye stone age kupanga foleni ya sukari.
 
mkuu kule baridi sana....
wenyeji wa kule ni wakarimu sana
Haya mkuu. Mimi naishukuru GOOGLE EARTH walau imeniwezesha kuvinjari sayari ya Mars, mwezi na anga la ulimwengu wote, bahari na chini ya bahari. Sehemu yoyote ile duniani nikitaka kujua pakoje nikiasi cha ku click tuu. Viva science. Wanaoponda hao wanasayansi wana mtindio wa ubongo
 
I'm watching a show on the Science Channel on Jupiter and it's influence on life on Earth. Every ocean, every sea, every river, every stream, brook, creek and raindrop owes it's existence to Jupiter. Life on Earth owes it's existence to Jupiter. Fascinating stuff!
 
Kuna mafanikio gani wao kurusha hicho chombo kwenda huko Jupiter? Kwenda wakigundua kunafaa watu kuishi ndio wataenda huko?? Kama safari ya kwenda huko ni miaka mitano, it means ukitaka kuishi huko kwenda na kurudi duniani kuona ndugu zako itawachukua miaka 10 pekee kwaajili ya safari.. Hakuna chochote cha maana bora hizo sayansi zao wanazotudanganya nazo watengeneze dawa ya kutibu Ukimwi na Zika..

Wamarekani ni waongo sana.. Na si ajabu hata huko Jupiter hawajaenda ni kutafuta misifa tu..
Yale majambazi ya kichagga ya arusha na moshi unayoyasifia huku ndio mafanikio sio?
 
mimi niseme wazi kabisa kwamba Nina Elimu ya Mungu.

Na nilazima niisadiki kwa kuwa Mungu ni Ukweli na Mungu siyo Sayansi.

Maana hata wana Sayansi Hawaamini kuwa kuna Mungu, nikufahamishe hilo kama hulijui.

Ndiyo maana wanasayansi wanasema wa Africa wanatokana na Nyani na wewe unachekelea.

Jiulize kama wewe mtu mweusi unatokana na Nyani wao wanatokana na Nini?

Jitambue mkuu. Kuwa Mchunguzi wa Mambo kabla ya kushangilia jambo.
Usijaribu hata siku moja kuhukumu wengi kwa kutumia wachache ndugu yangu. Ni hivi kuna wanasayansi wanaamini Mungu kama wewe na kuna ambao hawaaamin Mungu ila hao ambao hawaamin Mungu hawafanyi wale wanaoamin kuwa katika group moja. Na si kweli kwamba mwanaadam kazi yake ni kuharibu.... Tofauti kati ya Sayansi na imani za dini ni kwamba Sayansi imeegemea kwenye kufanya uchunguzi na experiment... (Ungejuaje kama hewa unayovuta ni tofauti na hewa unayotoa? Je ungetumia njia gani kuzipa majina na kuzitambua ni tofauti) Je ungesafiri kwa chombo gani kutoka kijijini kwenu hadi kufika ulipo sasa? Tuseme ndio umefanikiwa kufika kwa mguu, je ungetumia njia gani kuwasiliana na ndugu zako uliowaacha, kuwatumia pesa hali ya uchumi sio nzuri kwa upande wao. Please kama jambo ulijua omba ufafanuzi usilalamike kwa usichokijua. Wanasayansi kwa kupeleka vyombo anga za mbali wameisaidia kwa kiasi kikubwa mabadiliko chanya duniani... Mfano GPS Satellite inayoweza kuonyesha wapi kitu/mtu mahali kilipo duniani, kuna satellite ambazo zinatoa taarifa za hali ya hewa duniani (Na hata nchi yetu Tz inategema vyombo hivyo)... zinatuma data mbali mbali Kwa njia ya Intaneti, Leo hii wanafanya Tafiti kuweza kujua je kuna sayari ambazo zinaweza kutufanya tuweze kuishi?? na hii ni kwa kuangalia kama kuna Maji kwenye sayari hizo kumbuka maji ndio uhai, electromagnetic fields...Je sayari hizi zimetokana na nini??? Jiulize kama kila mtu angekuwa anawaza kama wewe.... Dunia ingekuwa katika hali gani? umeme umetokana na sayansi si imani za dini... na vingine vingi ambavyo havikuja kutokana na nature.
 
Setelite iitwayo Juno imefika salama salimin katika sayari ya Jupiter. Setelie hii imefika saa 06:15 a.m. Setelite hii ilitumwa na jopo la wana sayansi wa marekani mwaka 2012. huu ndo mwaka wa tano ikiwa inasafiri tu.

Setelite hii itakaa huko kwa kiasi cha takriban mwaka mmoja na nusu, harafu itarudi dunian. itakuwa imechukua information mhimu kuhusu sayar ya jupiter.

Kumbuka kuwa sayar ya jupiter ni kubwa mno kiasa cha dunia kuingia mara 1000.

Funzo. waafrika tuache kulogana, fitina roho mbaya zisizo na misingi. wakat sisi tumeendekeza uchawi, fitina, umaskin, umbea, elimu za kuunga unga wenzetu wanarusha setelite kwa miaka mitano mpaka jupter. Kesho na kesho kutwa utasikia wameenda kuishi huko.


Hii satelite imesharudi duniani?
 
Back
Top Bottom