Nimepiga kambi apa nasubili sehemu inayofata kwa hamu.

Japo kufikia apa nmegundua askari wa JWTZ walokufa vitani ni wachache saaana , lakini mboona kambi ya KABOYA wilaya ya MULEEBA ambapo kumbukumbu ya mashujaa imeifadhiwa kuna makaburi ya askari weeeengi saaaana takrbani mia 4.
Nakufikia apa inaonekana walokufa hawafiki ata 50.
Hesebu vzr.
 
Back
Top Bottom