mwija8
Member
- Jul 19, 2021
- 35
- 22
Ngoja warudi tujue kipi ni sahihi au vipi.
Kwa alie wahi kufika kambi hii ya JWTZ KABOOYA
Kuna mnara wa kumbukumbu ya mashujaa pamoja na vifaaa vilivyotumika vitaani .
Cha ajabu zaidi mnara huo una majiiina ya askari woote waliokufa vitani ni weengi saaaana kupita maelezo .
Kwa alie wahi kufika kambi hii ya JWTZ KABOOYA
Kuna mnara wa kumbukumbu ya mashujaa pamoja na vifaaa vilivyotumika vitaani .
Cha ajabu zaidi mnara huo una majiiina ya askari woote waliokufa vitani ni weengi saaaana kupita maelezo .