Historia ya maisha yangu

Yaani wanaume siku zote huwa mnatafuta kila namna mwanamke aonekane ndiyo mwenye makosa eti asipobadilika ujue huyo Mtoto siyo wake kwamba huyo mwanaume yeye hawezi kuwa na matatizo yake binafsi
 
People with these wise kinda words are so gone! She was once the guardian angel to that dude, she's currently the upcoming satan. May God guide her
 
Aisee.. kuna watu wanakutana na bahati ila huwa wanavyozichezea daa. Pole sana aisee
 
Mkuu kwani hakuna wanaume wanaowasaidia wanawake halafu Mwisho wa siku wanawaambia maneno kama hayo
Wao wamezidi ,sie tunakubar na kuona ulitoa sadaka
 
Jamaa una mkwara sana wewe 😂😂😂
 
Sijakimbia nilikuwa bize kumpa mzee maelekezo,mlio utasikika tu,popote ulipo jiandae ,najua nawe unapambana kupitia Bibi yako,tuone Kama utawazidi wafipa wewe hahahah
Hv haya huwa kweli jamani?😅😅😅...hizi nguvu mdogo wangu ungewekeza kwenye utafutaji ..unaweza roga ukasubiri miaka dahari huoni akitetereka...
All the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…