Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
-
- #201
Kweli kwa mfano akikupa matunzo yote ya mtoto na kukupa mtaji je akiomba penz unaweza kumuwekea ngum au ukalegea? Maana Wewe Jambo linalo kukosesha Aman na usingizi ni matatizo ya mtoto kukosa huduma ina baba mzaz akiweza kucheza na akili yako lazma utarudiana kisili tu
Mwanao hajanikosea na wewe hujanikosea,so hawezi dhurika kamwe,uchawi wa kweli unaangalia ukweli tu,hauonei mtu🙅Mm mwenyew nashanga umejuaje alitaka kuuawa mwanao? Jaman had wasomi wanaabudu ushirikina!...mm nakukabidhi mwanangu na hutaweza mroga
Kabisa aisee...khaa yaan nipoteze muda kwa mganga wa kienyeji? Ni malezi tuUshirikina basi unaangalia cha usomi, ni jinsi tu life style yako ilivyokuwa wakati unakua.
Tulia ngoma ishaanza pigwa kitamboSasa si uende huko Katavi, mbona unapoteza muda kutuandikia mavitu mengi wakati ushaamua unataka kwenda kupiga ramli...
Mwanzo nilidhani waandika uzi labda watafuta ushauri fulani
Wamenifoc,kwa taarifa yako nimekulia kanisani🙏nishashtak kwa wazeeKabisa aisee...khaa yaan nipoteze muda kwa mganga wa kienyeji? Ni malezi tu
Hahahah usijal zitampiga yeye tu,na mkewe si ndo wahusika na mama yakeBasi kama mzaz mwenzako naye anahangaika bas atafeli..mm najua uchawi ukiuendekeza unakupata usipouendekeza walaaa....ika utuoe majibu jaman tuje tusikie radi zimepiga dar🗯
Tunataka evidence ilo bomu lako likifanya kazi. Nipo kwenye research [emoji28][emoji28]
Ahh nitaleta story vizuri kazi ikiisha ,tulia uwe na subra🙏Mkuu...huku kutaka kuuliwa mtoto ulipiga RAMLI?.. au ulijuaje...
Ware. Ustawi wa jamii bado wanatumia Ile Sheria ya 1971 ambayo mwanaume anatakiwa atoe matunzo ya sh 170. In words Mia moja na sabini😅😅😅...aende ustawi wa jamii tu...atasomeshwa tu ..ila kiuhalisia inauma mtu umempa mwanga leo anakuumiza nafsi hvy?
Kipepeo wa chuma1 mchumba hasaidiwi..ungemuacha ajipush mwenyewe. Sema hukujua ...pole dogo
Aisee pole
Punguza jazba usije ukaua buree
Pole sana mumy
Niende ustawi kufanya Nini?🤣Niko kilingeni,katavi haidanganyiWare. Ustawi wa jamii bado wanatumia Ile Sheria ya 1971 ambayo mwanaume anatakiwa atoe matunzo ya sh 170. In words Mia moja na sabini
Mwache aongee bado lake mdomo wake vidole vyake Uhuru wake🤣Mkuu unamuattack san huyu mdada..simama kama mdogo wako wa kike au hata mwanao..sio vizuri kumuita majina ya ajabu ajabu mara single mama mara sijui hutishwi na maneno ya mtu alokosa direction ..hapana kwakweli..ana mzigo mzito sana acha kashfa ..am sorry kama nimekukwaza
Malez ya familia tabia ya kupenda waganga inatokana na wazaz, bibi na babu, in short ukoooKabisa aisee...khaa yaan nipoteze muda kwa mganga wa kienyeji? Ni malezi tu
Hhahahahaa kuna mkoa mmoja kwenda kwa waganga ni kama ibada😅Malez ya familia tabia ya kupenda waganga inatokana na wazaz, bibi na babu, in short ukooo
Wewe ndio umenielewa,na kwa sababu hiyo na heshima ya mwanangu,lazima jamaa tumrudishe chini,piga ua garagaza anarudi moja,wazee wangu wamechungulia wameona na wameamua hivo🙅I think we're missing a point here.
Watu wanasema kumsaidia mwanaume si kigezo cha kumfanya akupende, swali ni je mwanamke ndio aliemtongoza mwanaume?? Kama jibu ni hapana then kwenye swala la upendo mwanaume ndo mwenye kosa kwa kuanzisha mahusiano pasipo kua na nia ya kumpenda Kipepeo wa chuma1
Swala la pili ni kwamba majukumu ya malezi ni ya wazazi wote wa2 haijalishi mmetengana au bado ni mume na mke, kama ni hivyo kwanini huyu mwanaume hatekelezi majukumu yake kama mwanaume regardless mapungufu ya mdada??? Kafeli mara ya 2
Swala la mwisho Kipepeo wa chuma1 kaenda kudai haki ya mtoto na si yake, then kwanini huyu jamaa ageuze kibao amuhusishe mkewe hadi kufikia hatua ya kutaka kumuua mtoto wa mwanamke mwenzie???
Ninachokiona si dada kuumizwa na mafanikio ya mwanaume bali ni ile hali ya kukataa kumuhudumia mtoto hadi kufikia hatua ya kutaka kutoa uhai wa mtt na ndicho hasa kinachomfanya huyu mwanamama kuchukua maamuzi magumu
Ifike mahali kama wanaume tuthamini hizi machine zenu hasa kizazi chetu kama huna plan za kuoa wala huna uwezo wa kulea hakikisha haumwagi ndan and if you do so, jiandae kuface responsibilities na sio bla bla
Hahahahahaha...dharau hizo sasa..haijabadilishwa?inakera...Ware. Ustawi wa jamii bado wanatumia Ile Sheria ya 1971 ambayo mwanaume anatakiwa atoe matunzo ya sh 170. In words Mia moja na sabini
Hahahahahahahaa ila kipepeo.umedhamiria aiseWewe ndio umenielewa,na kwa sababu hiyo na heshima ya mwanangu,lazima jamaa tumrudishe chini,piga ua garagaza anarudi moja,wazee wangu wamechungulia wameona na wameamua hivo🙅
Malez ya familia tabia ya kupenda waganga inatokana na wazaz, bibi na babu, in short ukoo
Khakh unahisi masijala?soon ataanza kuomba jero kwa watu na kugongea konyagi🤣Hahahahahahahaa ila kipepeo.umedhamiria aise
Hapana namludisha nilipomkuta,kama ulimkuta mtu stendi ,si unamrudisha stendi au?🤣Unamroga?
Haahah noma sanaKhakh unahisi masijala?soon ataanza kuomba jero kwa watu na kugongea konyagi🤣