Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Jipu kuu hili tena lipo usoni !!!!huyu akianza kufuatiliwa hata SAA NNE haifiki atakuwa amezimia kuna tetesi aliuza chama kipindi Fulani
 
Huyo anayetakiwa kumtumbua Mbowe ni nani?

Swali mujarabu; nani wa kumtumbua Mbowe? Anasubiri nini hadi sasa?

Naona kitengo cha propaganda cha CCM kimeajiri waswahili kibao waliofurika JF wakihangaika kubomoa nguzo kuu za upinzani. Unataka kumtumbua Mbowe unaanzisha uzi JF?
 
Jamaa ni mjasiriasiasa. Ni mpigaji. Mfanyabiashara mkubwa kupitia siasa. Posho anaipiga,pesa ya fisadi kaipiga kamuuzia chama.
 
Mbowe ni fisadi papa ameficha mabilioni nje ya nchi bila kibali cha BOT.

Pia ni mkabila sana vyeo kwenye chama anawapa Wachaga wenzie mfano Ben Saanane John mrema Anthony Komu
 
Vijana wa Lumumba wanamuogopa mbowe kinoma yani...hongereni vijana wa hovyo hvyo...na endeleeni kujitoa ufahamu...naona mnafuata nyayo za slow slow ili naninyi muukwae udcm...kila la heri mafi nyie
 
wanajamvi, kutokana na malalamiko ya wananchi juu ya hali mbaya tulofikishwa hapa na majipu.

Tuchungulie haya;

1. Ruzuku ndan ya chama chake inavotumiwa si wazi,
2. Kupongeza na kuutakasa ufisadi wa Richmond,
3. Wastaafu hawana pension, lakin kuna kipindi alikuwa mdaiwa sugu pale tetes zilizagaa
4. Hataki kuachia madaraka,
5. Amekuwa mtu anayechonganisha wananchi kwa watawala wasio na makosa lakin baadae anatengua kaul zake mwenyewe,
6. Amekuwa akishtumiwa kwa mambo mengi yasiyopendezwa.

Je inabidi atumbuliwe naye ni jipu?
Kwanza mmeishiwa na majipu ya kutumbua
Pili mmetumbua nyama badala yya majipu
Tatu mlipotumbua majiipu kmakosa mnajitafakari mfanyanyeji

Sioni mtamtumbua Mbowe kwa kisu au shoka maana vitu vyote hivyo hamna; yale mlitumbua kwa kukurupuka na madhara yake ni aibu yenu.
 
Kuna Jamaa Maarufu Kama Kizaizai Supertall,mtoto Wa Mjini, Kasema Kamjua Mbowe Kupitia Mbowe Hotel Ya Baba Yake Kuanzia Nyuma Mpaka Miaka Ya 90,ili Tujue Vema Historia Yake Aweze Kuongezewa Muda Wake Kufanya Kaz Kwa Kipindi Kingine, Ebu Wanaomjua Vema Tunaomba Watujulishe Historia Yake, Kila Mwaka Alipokuwa


Kwa nini hukumuuliza huyo Shekhamakhai (Kizaizai)
 
Kuna Jamaa Maarufu Kama Kizaizai Supertall,mtoto Wa Mjini, Kasema Kamjua Mbowe Kupitia Mbowe Hotel Ya Baba Yake Kuanzia Nyuma Mpaka Miaka Ya 90,ili Tujue Vema Historia Yake Aweze Kuongezewa Muda Wake Kufanya Kaz Kwa Kipindi Kingine, Ebu Wanaomjua Vema Tunaomba Watujulishe Historia Yake, Kila Mwaka Alipokuwa
Huyo kizaizao wako nayeye mwambie watu wanamjia tangu alipokuwa ilala boi wa waarabu anaosha masufuria, ameletwa kutoka tanga akaishia jikoni kukwangua makoko,mwambie akae kimya.
 
Kuna Jamaa Maarufu Kama Kizaizai Supertall,mtoto Wa Mjini, Kasema Kamjua Mbowe Kupitia Mbowe Hotel Ya Baba Yake Kuanzia Nyuma Mpaka Miaka Ya 90,ili Tujue Vema Historia Yake Aweze Kuongezewa Muda Wake Kufanya Kaz Kwa Kipindi Kingine, Ebu Wanaomjua Vema Tunaomba Watujulishe Historia Yake, Kila Mwaka Alipokuwa
Mbowe ni Mwenyekiti imara wa CHADEMA ambaye amewafanya magamba wavikimbie vitanda vyao Kama vina kunguni.
 
Mwana Sayansi,fizikia na filosofia mmoja aitwae Albert Einstein aliwahi kusema,Watu wenye Akili Kubwa hujadili Ideas wenye akili za Kawaida hujadili Matukio na Wenye Akili Ndogo humjadili MTU,nadhani humu umepotea njia sio size yako humu tunajadili Ideas tu bila kujali zimeletwa na nani
 
Ukiishaifahamu itakusaidia nini, itakulisha, itavalisha, itakunyesha au itakupa nyumba kwa ajili ya malazi ?. Ebu fanya vitu vya maana vitakavyokusaidia maisha yako mbeleni!!
 
We Endelea kumchunguza Mwenzako Account za Bank zinasoma Billions of Tanzania shillings
 
Eti peace of mind! Ha ha ha ha anakuwaje na peace of mind wakati kila siku anafukuzana na polisi mitaani kwa u O wake wa Elimu! Ha ha ha haaaa!
Peace of mind economically baba! Wakati wewe ili uishi ni mpaka ujipendekeze na kuukana ukweli yeye na hiyo O unayosema maisha yametulia
 
Ndugu zangu .., si kila post au mada ni ya kujadili ... Mtu kaamka toka usingizi wake wa kuvimbiwa posho ya chama twawala ,nyie mnampa muda wenu ...?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom