Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Hivi akiamua kukutafuta kwa hasira ili kumalizana na wewe utamuweza?
Kama unavyosema mwenyewe kuwa ni mtoto wa mjini ugomvi binafsi utauweza? Fikiri kwanza kabla ya kufanya haya.
Unaweza kumuudhi mtu akaamua kushuhulika na wewe. Uwe tayari.
Akiamua kufanya hivyo Atakua Criminal na sio kiongozi wa kisiasa...

Maisha ya kiongozi yeyote wa kisiasa ni yenye public interest.. hivyo sioni sababu ya kumchimbia mtu biti kisa kauliza swali la kutaka kufahamu wasifu wa kiongozi wa chama cha siasa..

Huenda pia akawa ni mwananchi wa kawaida anayetafuta chama cha kujiunga nacho hivyo anataka kujua wasifu wa kiongozi atakayemuongoza kiitikadi before kujiunga chamani..

Kwanini umeitafsiri kama ni vita??
 
Akiamua kufanya hivyo Atakua Criminal na sio kiongozi wa kisiasa...

Maisha ya kiongozi yeyote wa kisiasa ni yenye public interest.. hivyo sioni sababu ya kumchimbia mtu biti kisa kauliza swali la kutaka kufahamu wasifu wa kiongozi wa chama cha siasa..

Huenda pia akawa ni mwananchi wa kawaida anayetafuta chama cha kujiunga nacho hivyo anataka kujua wasifu wa kiongozi atakayemuongoza kiitikadi before kujiunga chamani..

Kwanini umeitafsiri kama ni vita??
Kweli
 
Hivi akiamua kukutafuta kwa hasira ili kumalizana na wewe utamuweza?
Kama unavyosema mwenyewe kuwa ni mtoto wa mjini ugomvi binafsi utauweza? Fikiri kwanza kabla ya kufanya haya.
Unaweza kumuudhi mtu akaamua kushuhulika na wewe. Uwe tayari.
Acheni vitisho wanajadiliwa viongozi wa nchi wenye Dola yy ni nani
 
Ni vizuri sana make kwenye siasa bwana kuna mambo ambayo yakitokea hutaweza kuyahoji kisutu lakini ukiwapata wajuzi wanaweza kusaidia kumwelewa mliyenaye ni wa aina gani na alipitapitaje huko udogoni-ujanani. Binafsi niliomba jana wanaomfahamu watusaidie na sababu yangu bado ni ile ile, aliwezaje kumpokea mtu yule aliyemwita majina yote ya kishetani na kumpa wadhifa wa kusimama kwa ajiri ya chama chake? mtu ambaye nje ya pesa yake naamini jamii inamwona mwovu sana. Na alifikiria nini kikamwaminisha kwamba sisi watanzania tutakaa tuicheze ngoma yake? Na je, akiri ya Mbowe huko aliko anawaza kwenda kuongea nini kwa watanzania hasa atakapokuwa bungeni, sahivi ataendelea kuwaita akina fulani mafisadi? je, atawezaje kuwasema wenzie kwa mabaya wakati yeye mwenyewe kajaza uozo na ubaya wote kwenye taasisi yake? nahisi tukipata historia yake inaweza kujibu baadhi ya maamuzi na mienendo ya huyu jamaa. Kwa waliokuwa Ihungo sec. pia tunaomba mtusaidie.
Ni kweli kabisa mkuu [emoji106] [emoji122] [emoji122]
 
Muongo na mnafiki kwa kuuza nafasi ya mtu katika chama kwa mabilion ya hela,kisha kuzila yeye na muhasisi,huku wana ukawa wakibaki wakiwa
Ni kweli kabisa mkuu lakini Nyumbu katika ubora wao hawakubali hata kidogo
 
anaitwa freemon alkael mbowe!!ni mkwelima wa mtei gavana wa zamani wa tanzania,ni mwenyekiti wa chadema kwa awamu tatu!!kifupi kifupi kumchagua mwenyekiti chadema hakuna demokrasi kwani anasimamia chama cha mkwe ambaye ni mwanzirishi(mtei)mbowe ni maarufu kwa siasa za tanzania kwa sasa,mbowe pia ni maarufu kwa upotoshaji ni muhamasisha wa maandamo mara kwa mara,,mbowe ana diploma of art ambayo aliipata baada ya kufanya kazi ya dj club bilikanasi jiji dar es salaam!!!mwisho kwa taaluma yake mboye ni msanii!!!mwisho wa historia
dah! hahaha... 888
 
Tunapotea njia tunatakiwa tumjue sana rais mpia,mwanasheria mkuu, mawaziri na viongozi wa chama tawala hilo lingekua la maana sana kwani hawa ni wa kitaifa, ili tujue kama wana uwezo kweli wa kuwa viongozi wa taifa hili au ni wapitaji,hii itatusaidia namna ya kuendesha mipango yetu.
Hawa tutaanza kuwachunguza 2018 na kuendelea
Mkuu kwani Chadema siyo chama cha kitaifa? Aah kwa hiyo ni kweli ni Chaga development manifesto.
 
anaitwa freemon alkael mbowe!!ni mkwelima wa mtei gavana wa zamani wa tanzania,ni mwenyekiti wa chadema kwa awamu tatu!!kifupi kifupi kumchagua mwenyekiti chadema hakuna demokrasi kwani anasimamia chama cha mkwe ambaye ni mwanzirishi(mtei)mbowe ni maarufu kwa siasa za tanzania kwa sasa,mbowe pia ni maarufu kwa upotoshaji ni muhamasisha wa maandamo mara kwa mara,,mbowe ana diploma of art ambayo aliipata baada ya kufanya kazi ya dj club bilikanasi jiji dar es salaam!!!mwisho kwa taaluma yake mboye ni msanii!!!mwisho wa historia
[emoji13] [emoji13] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Na mimi nasema namjua huuo Supa tall wako tangu yuko pale kwa waarabu ilala akiosha masufuria.....tuendelee?.
Huyo super tall si ni Yule mhaya mpenda sifa ajabu, alikuwa mpambe wa papaa msofe, si alikamatwa na miguu. Ya albino, maskani yake pale lumumba. Hahahaaa, watu werevu humuita kubwa jinga. Ila amshukuru kamanda tiba la sivyo sasa hivi angekuwa habari ingine
 
Na sisi tunataka kujua historia yako ya maisha kuanzia ulivyozaliwa hadi sasa.Unaweza ukawa umetoka kwenye ukoo uliovimbiana kama vyura kwa wivu.Angalia mfano mmoja tu raisi Zuma wa Africa kusini alitokea kijiweni na hakusoma hata darasa moja lakini anaongoza taifa kubwa lenye uchumi mzuri na watu wasomi zaidi kuliko Tanzania.Zuma anaheshimika duniani kwa sababu amekuwa atumiwa kutatua migogoro mizito inayofukutu katika mataifa mengine.Kwa hiyo mtoa mada hii anaweweseka na KIFAFA cha wivu kwa Mbowe.
 
Mbulula una nafasi gani ya kumuwezesha au kumtosa u enyekiti wake?au unataka akuoe mke wa pili?
 
Na sisi tunataka kujua historia yako ya maisha kuanzia ulivyozaliwa hadi sasa.Unaweza ukawa umetoka kwenye ukoo uliovimbiana kama vyura kwa wivu.Angalia mfano mmoja tu raisi Zuma wa Africa kusini alitokea kijiweni na hakusoma hata darasa moja lakini anaongoza taifa kubwa lenye uchumi mzuri na watu wasomi zaidi kuliko Tanzania.Zuma anaheshimika duniani kwa sababu amekuwa atumiwa kutatua migogoro mizito inayofukutu katika mataifa mengine.Kwa hiyo mtoa mada hii anaweweseka na KIFAFA cha wivu kwa Mbowe.
Zuma amesoma hadi darasa la tatu
 
Huyo super tall si ni Yule mhaya mpenda sifa ajabu, alikuwa mpambe wa papaa msofe, si alikamatwa na miguu. Ya albino, maskani yake pale lumumba. Hahahaaa, watu werevu humuita kubwa jinga. Ila amshukuru kamanda tiba la sivyo sasa hivi angekuwa habari ingine
Ni mgosi wa ndima, si nshomile.
 
Huyo kizaizao wako nayeye mwambie watu wanamjia tangu alipokuwa ilala boi wa waarabu anaosha masufuria, ameletwa kutoka tanga akaishia jikoni kukwangua makoko,mwambie akae kimya.
We mwongo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom