Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Mmesikia Ruzuku itaongezeka mnaanza kuzengea zengea,kamwe hamuwezi kuvuruga chama
Mkuu na sasa Ruzuku ndio kwanza imeongezeka, wataweza wapi na mzee wao wa Gombe!
Mmesikia Ruzuku itaongezeka mnaanza kuzengea zengea,kamwe hamuwezi kuvuruga chama
Na mimi nasema namjua huuo Supa tall wako tangu yuko pale kwa waarabu ilala akiosha masufuria.....tuendelee?.Kuna Jamaa Maarufu Kama Kizaizai Supertall,mtoto Wa Mjini, Kasema Kamjua Mbowe Kupitia Mbowe Hotel Ya Baba Yake Kuanzia Nyuma Mpaka Miaka Ya 90, Alijulikana Kama Mtoto Wa Mjini, Ebu Wanaomjua Vema Tunaomba Watujulishe Historia Yake, Kila Mwaka Alipokuwa
Ni vizuri sana make kwenye siasa bwana kuna mambo ambayo yakitokea hutaweza kuyahoji kisutu lakini ukiwapata wajuzi wanaweza kusaidia kumwelewa mliyenaye ni wa aina gani na alipitapitaje huko udogoni-ujanani. Binafsi niliomba jana wanaomfahamu watusaidie na sababu yangu bado ni ile ile, aliwezaje kumpokea mtu yule aliyemwita majina yote ya kishetani na kumpa wadhifa wa kusimama kwa ajiri ya chama chake? mtu ambaye nje ya pesa yake naamini jamii inamwona mwovu sana. Na alifikiria nini kikamwaminisha kwamba sisi watanzania tutakaa tuicheze ngoma yake? Na je, akiri ya Mbowe huko aliko anawaza kwenda kuongea nini kwa watanzania hasa atakapokuwa bungeni, sahivi ataendelea kuwaita akina fulani mafisadi? je, atawezaje kuwasema wenzie kwa mabaya wakati yeye mwenyewe kajaza uozo na ubaya wote kwenye taasisi yake? nahisi tukipata historia yake inaweza kujibu baadhi ya maamuzi na mienendo ya huyu jamaa. Kwa waliokuwa Ihungo sec. pia tunaomba mtusaidie.
Kwanini huyo Jamaa asikupe historia yote,Au ni yaleyale kukariri kwingi?Kuna Jamaa Maarufu Kama Kizaizai Supertall,mtoto Wa Mjini, Kasema Kamjua Mbowe Kupitia Mbowe Hotel Ya Baba Yake Kuanzia Nyuma Mpaka Miaka Ya 90,ili Tujue Vema Historia Yake Aweze Kuongezewa Muda Wake Kufanya Kaz Kwa Kipindi Kingine, Ebu Wanaomjua Vema Tunaomba Watujulishe Historia Yake, Kila Mwaka Alipokuwa
Ni vizuri sana make kwenye siasa bwana kuna mambo ambayo yakitokea hutaweza kuyahoji kisutu lakini ukiwapata wajuzi wanaweza kusaidia kumwelewa mliyenaye ni wa aina gani na alipitapitaje huko udogoni-ujanani. Binafsi niliomba jana wanaomfahamu watusaidie na sababu yangu bado ni ile ile, aliwezaje kumpokea mtu yule aliyemwita majina yote ya kishetani na kumpa wadhifa wa kusimama kwa ajiri ya chama chake? mtu ambaye nje ya pesa yake naamini jamii inamwona mwovu sana. Na alifikiria nini kikamwaminisha kwamba sisi watanzania tutakaa tuicheze ngoma yake? Na je, akiri ya Mbowe huko aliko anawaza kwenda kuongea nini kwa watanzania hasa atakapokuwa bungeni, sahivi ataendelea kuwaita akina fulani mafisadi? je, atawezaje kuwasema wenzie kwa mabaya wakati yeye mwenyewe kajaza uozo na ubaya wote kwenye taasisi yake? nahisi tukipata historia yake inaweza kujibu baadhi ya maamuzi na mienendo ya huyu jamaa. Kwa waliokuwa Ihungo sec. pia tunaomba mtusaidie.
Mchangishaji hela maarufu za wafuasi malofa na anazitafuna
Ni vizuri sana make kwenye siasa bwana kuna mambo ambayo yakitokea hutaweza kuyahoji kisutu lakini ukiwapata wajuzi wanaweza kusaidia kumwelewa mliyenaye ni wa aina gani na alipitapitaje huko udogoni-ujanani. Binafsi niliomba jana wanaomfahamu watusaidie na sababu yangu bado ni ile ile, aliwezaje kumpokea mtu yule aliyemwita majina yote ya kishetani na kumpa wadhifa wa kusimama kwa ajiri ya chama chake? mtu ambaye nje ya pesa yake naamini jamii inamwona mwovu sana. Na alifikiria nini kikamwaminisha kwamba sisi watanzania tutakaa tuicheze ngoma yake? Na je, akiri ya Mbowe huko aliko anawaza kwenda kuongea nini kwa watanzania hasa atakapokuwa bungeni, sahivi ataendelea kuwaita akina fulani mafisadi? je, atawezaje kuwasema wenzie kwa mabaya wakati yeye mwenyewe kajaza uozo na ubaya wote kwenye taasisi yake? nahisi tukipata historia yake inaweza kujibu baadhi ya maamuzi na mienendo ya huyu jamaa. Kwa waliokuwa Ihungo sec. pia tunaomba mtusaidie.