Darasa la saba utawajua tu. Kuna siku ataleta posaKwa Siasa za Tanzania Freeman Mbowe amefikia ukomo kwani chama Cha upinzani hakiwezi kuongoza Nchi hadi tutakapopata Katiba Mpya
Wenzake Mbowe ni Dr Nchimbi, Nape Nnauye, Eng Masauni na Julius Mtatiro Hawa Bado Wana safari ya Kisiasa kuelekea kuongoza Nchi kwa sababu wako CCM
Nafasi pekee aliyobakiza Mbowe ni ile ya kuwa Rais wa Yanga Africa kule hata JK, Ridhiwani, Dr Mwigullu PhD, Mkuchika na Mavunde watampigia kampeni
Ahsanteni Sana 🐼