Yethero Mgale
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 525
- 228
Ubilionea kaupata kwa kutafuna ruzuku na michango ya saccos yenu,ndiyo anayojengea nyumba dubai na usa
Bila kusahau mkopo anaodaiwa na NSSF
Ubilionea kaupata kwa kutafuna ruzuku na michango ya saccos yenu,ndiyo anayojengea nyumba dubai na usa
viongozi wengi sana hap CDM elimu yao ni gumashi tupu !
Bilionea wa Moshi na Arusha Ahahahaha!
Naona kama anakwepa kumtaja Mnyika kwenye chambuzi yake hii sijui kwanini?
BACK TANGANYIKA
Iweje mlimwajiri BOT kama alifeli kwa kiwango hicho na iweje mlimruhusu agombee uraisi 2005 wakati mnasema hana degree Basi hii itakuwa serikali dhaifu kupita zote duniani
Na sasa ni bilionea wakati wewe uliopata div 1 point 7 na Div 1 ya point 3 unapiga mihayo kuzunguka town na mifuko ya khaki kutafuta kazi majasho hadi kwenye meno vumbi hadi kwenye kope.
Katika safu ya julius mtatiro ya NANI NI NANI URAIS.
Mtatiro amekosa ushirikiano na Mbowe kadhalika viongozi wa juu hapo makao makuu juu ya wasifu wa Mbowe kielimu .
Namnukuu Ntatiro:
Wasomaji mtaniwia radhi kwa sababu taarifa za elimu ya kiongozi huyu na mambo mengine muhimu yanayo mhusu na mtiririko mwingine hauko kwenye tovuti ya bunge . Lakini pia ofisi yake haikutoa ushirikiano ili kupata taarifa hizo na hata viongozi wajuu na waandamizi wa chama hicho
Walihahidi kukamilisha wasifu huo na kunipa lakini baaadaye wakanieleza kuwa hawawezi kuutoa kwa sababu mbowe sio mgombea urais,
Pamoja na kuwa nilishawajulisha kuwa anachbuliwa kwa sbabu anatajwa kuwa nawananchi ana sifa na vigezo vya kuwania nafasi hiyo.
Mwisho wa kunukuu.
Mtu mzito kama mbowe kupitia kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wasifu wake usijulikane.
atakua alizungusha
Uwa nashangaa sana watanzania wanapotaka kujua elimu ya Mbowe kwa nia njema kabisa lakini pro-Chadema hawataki watu wajadili elimu ya Mbowe sijui kwa nini.
Napenda siasa za huyu bwana ,very tough
Mtu akikosa mambo ya kufanya lazima atakuwa na tabia za kis..ho..g..sa hasa anapokuwa ni jinsia ya kiume.
Sasa wewe kujua elimu ya Mbowe inakusaidia kwa lipi au unataka kumpeleka shule.
Iweje taarifa zake zikosekane hata kwenye tovuti ya bunge?
viongozi wengi sana hap CDM elimu yao ni gumashi tupu !
atakua alizungusha
Katika safu ya julius mtatiro ya NANI NI NANI URAIS.
Mtatiro amekosa ushirikiano na Mbowe kadhalika viongozi wa juu hapo makao makuu juu ya wasifu wa Mbowe kielimu .
Namnukuu Ntatiro:
Wasomaji mtaniwia radhi kwa sababu taarifa za elimu ya kiongozi huyu na mambo mengine muhimu yanayo mhusu na mtiririko mwingine hauko kwenye tovuti ya bunge . Lakini pia ofisi yake haikutoa ushirikiano ili kupata taarifa hizo na hata viongozi wajuu na waandamizi wa chama hicho
Walihahidi kukamilisha wasifu huo na kunipa lakini baaadaye wakanieleza kuwa hawawezi kuutoa kwa sababu mbowe sio mgombea urais,
Pamoja na kuwa nilishawajulisha kuwa anachbuliwa kwa sbabu anatajwa kuwa nawananchi ana sifa na vigezo vya kuwania nafasi hiyo.
Mwisho wa kunukuu.
Mtu mzito kama mbowe kupitia kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wasifu wake usijulikane.
Iweje taarifa zake zikosekane hata kwenye tovuti ya bunge?
Uwa nashangaa sana watanzania wanapotaka kujua elimu ya Mbowe kwa nia njema kabisa lakini pro-Chadema hawataki watu wajadili elimu ya Mbowe sijui kwa nini.