Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Ni kweli wasomi wengi ndo hatari ktk taifa hili
 
Kama ishu ingekuwa Ni degree au u profesa basi tz tungekuwa matajiri..maendeleo ya nchi hayahitaji kiongozi mwenye elimu kubwa bali kiongozi mwenye maono ambaye atatumia wataalamu wanaomzunguka kuweza kufikia malengo na maono yake...hapo ndo mbowe anapowashinda wengine..adolf Hitler hakumaliza hata darasa la Saba, lakini ndo alifanya ujerumani kuwa imara kiuchumi na kuwa na barabara bora duniani kwasababu Tu alikuwa na vision, na vision yake ilikuwa Ni kuiona ujerumani ikiwa nchi yenye nguvu zaidi duniani na kufanikisha Hilo aliwatumia wataalamu WA kila kada kuhakikisha Hilo linatimia...elimu bila vision kiongozi ataongoza kwa mazoea..
 
Kwa wale ambao walikuwa wanamsikia tu sasa ndiyo huyo hapo chini, huwo ndiyo muonekano wake!


IMG_7601.JPG




na huyo hapo chini tena ndiyo Mzee Mtei, mwanzilishi wa chadema na mkwe wake wake F.Mbowe!

Mtei+Sepa+Clip.jpg


 
What is your point?.....

Mbowe ni mmoja wa waanzilishi wa CHADEMA akiwa kijana among wazee.
 
Hujafa hujaumbika! walisema wahenga. Stop that.

Kwani ni uongo? Kama amesingiziwa sema. Hakuwa hivyo, hayo ni matokeo ya ajali na kila mtu anajua huwezi kugarantii kutopata ajali ila ukweli kuwekwa wazi si jambo la ajabu.
 
kumbe yeye na mkwewe ni macho ku mchuzi,ndo maana sasa Lowasa kwao kawa msafi

Ha ha ha ha ha ha ha haaaaa sijui hayo macho yao alikuwaje siku Lowassa alipowapelekea bilioni 10 za kununua CHADEMA, ha ha ha ha ha sipati picha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom