Deogratius M
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 244
- 118
Eti system ndio inaleta amani,tena system ndio juu ya kila kitu,MAWAZO MADOGO KABISA
Mbwa wee
Mkuu polepole ni mtizamo tu!
System ni muunganiko wa organs mbalimbali zinazofanya kazi moja hili ni somo la darasa la saba au form one!
Kuna wajinga hawajui hiliHakuna mahali duniani system ikashinda watu
System inaundwa Na organs Na organs zinaundwa Na tissues Na tissues zinaundwa Na cells, Kwa taarifa yako sisi ndio cells !!!! Cells ziki misbehave system inageuka cancer so take note , cells 👣tutamisbehave tar 25 !!!!
Kitengo kimetoka kwenye uhalisia wake na hivyo kwa kiasi kikubwa kupoteza heshima yake.Ningependa katika awamu ya tano na awamu nyingine zijazo kitengo kirudi to its roots.
Haya kumekucha magambani...wanomba msaada wa sistimu sijui kitengo! hao nao ni watanzania... wana ndugu zao wanaopata shida kutokana mfumo kandamizi wa CCM nao sistimu wanataka ukombozi...wamechoka kutumiwa kama toilet paper.
sio wajinga tu, na ni matahira pia.Kuna wajinga hawajui hili