Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.

Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.

Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!


System hailali wala kusinzia!

UPDATES 1:
System au Kitengo imepata majaribu mapya na ya kipekee na imeyafanyia kazi kwa weledi.bado naendelea kuiita system ni ALPHA na OMEGA.
Tutulie ! #COVID 19

UPDATE 2:
SYSTEM ama KITENGO imepigwa kwa miaka miwili na inaendelea kupigwa sana lakini itakaa sawa.

KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!

#Heshimakwakitengo
Mkuu, tukubali ukweli kuwa system iliingiliwa kitambo sana miaka kama 20 hivi imepita.

Kurekebisha ilitakiwa utumike ueledi.

Bado humo wamo watu ambao si weledi na waaminifu, wamekula viapo lakini wamevikana.

Wazee wanachoka je wapo vijana makini na mahili, wa kushika hatamu?

Misingi ikisimamiwa basi kitengo kitajitambulisha chenyewe machoni mwa wananchi kwa mtindo mwingine.

Simaanishi kujitambulisha baa wewe ni nani kisha wapiga watu risasi.
 
Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.

Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.

Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!


System hailali wala kusinzia!

System inaachia uhuru wa kutosha sana mpaka pale ulevi wa uhuru unapoanza ndipo system inaingilia kati !

Sitaki kuongelea mengi pengine siyajui sana!

Naamini ni kazi ya kawaida kabisa ya System kuendelea kujilinda na kulinda values za kitanzania ili kuifanya Tanzania iendelee kuitwa Tanzania!

Hakuna aliye juu ya system awe masikini,kilema au tajiri au gaidi.ni system pekee ndio Alpha na Omega!

Mwaka 1992,1995,2010,2013 na labda miaka ya nyuma zaidi nikiwa mdogo SYSTEM ilipitia majaribio makubwa kadhaa na ikayashinda na sasa ni jaribio jingine tena ndani ya mwaka huu 2015.

Kwa hekima ya kipekee naamini system itashinda kiurahisi kuliko kila mmoja wetu anavyotarajia kwa kuwa ili-anticipate na hivyo imejipanga vilivyo.

UPDATES 1:
System au Kitengo imepata majaribu mapya na ya kipekee na imeyafanyia kazi kwa weledi.bado naendelea kuiita system ni ALPHA na OMEGA.
Tutulie ! #COVID 19

UPDATE 2:
SYSTEM ama KITENGO imepigwa kwa miaka miwili na inaendelea kupigwa sana lakini itakaa sawa.

KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!

#Heshimakwakitengo
Unaonyesha kama una hekima ya hali ya juu sana, na iliyo tofauti kabisa na umri ulionao! Umri uko chini lakini hekima iko juu
 
Well done comrades!
RiP fighters.
Thanks for alertness Usa EMBASSY
Mkuu, hizi alerts zingekuwa na afya zaidi kama serikali yetu ingeweza kuwapa wananchi kwenye simu zao via TCRA.

Maana wananchi kuketi madirishani wakirekodi tukio pia ni hatari.

Twatakiwa kukiri bado tuko nyuma sana.

Au weye una wazo lipi?

RIP polisi walokufa.
 
Sio kweli, apson ametoka kwenye system na mkapa, na haya yametokea juzi akiwa mstaafu anahusikaje? Acha kudandia mambo usiyoyajua utakuja dandia..
Hakuna anachokijua huyo Apson katoka kipindi cha Mkapa
 
Hii system inayobaka watu na kuwateka wale wazalendo alafu inawakumbatia na kuwalea wale wahujumu nchi? Kumbe kuna wengine wanaamini kwa vitu vya ovyo hivi.
 
Niliwahi kuwaza kitu kama hiki, kwa nchi kubwa kama hi I nadhani kuna watu wanafikiri kwa niaba ya wenzao. Lakini pia naona ndio sababu ukawa kutafuta mgombea kutoka huko huko kwenye kitengo. Wacha tuone hi I movie itaishaje sijui stering atakufa?
Yule aliku balozi Brazil ni mtu wa System now ni Makamu Ngoja tuone
 
Back
Top Bottom