Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Siku sio nyingi niliona jumbe zimezagaa kwenye social media, kwamba vitisho kwa watanzania vitolewe kwa wingi.. Ikikua ni agizo la m.kwere.. Sas naanza kuliamini
 
Kama nimekusoma vizuri, basi SYSTEM haita fanya makosa ya kupora haki na matakwa ya wananchi maana amani itapotea na nchi itakuwa haitawaliki tena.

Huu ni ujumbe muhimu sana kwa watawala wetu ili wajiandae vema kisaikolojia, ama wachukue maamuzi sahihi ya kukaa upande wa wananchi mapema.
 
Kama nimekusoma vizuri, basi SYSTEM haita fanya makosa ya kupora haki na matakwa ya wananchi maana amani itapotea na nchi itakuwa haitawaliki tena. Huu ni ujumbe muhimu sana kwa watawala wetu ili wajiandae vema kisaikolojia, ama wachukue maamuzi sahihi ya kukaa upande wa wananchi mapema.

Ni system pekee yenye jukumu la kuhakikisha elimu sahihi inaenda kwa wananchi!
 
watu wanapo iba serikalini na kusafirisha meno ya tembo na kusafirisha twiga nje ya nchi usalama wa taifa wanakuwa wapi?
 
watu wanapo iba serikalini na kusafirisha meno ya tembo na kusafirisha twiga nje ya nchi usalama wa taifa wanakuwa wapi?

Nimeipenda HIYO, system inayo ratibu rushwavchamani na setikalini, system inayo linda na kulea wezi wa mali ya watanzania, system inayo linda wezi kupitia mikataba 1990 hadi kutia fola 2005-2015 ni sydtem yenye akiri na kali kweli kweli,
Hiyo si chochote inlinda vigogo na watoto wao. i system makengeza inayo hitaji kuwekewa mboni mpya, pua mpya ipate kunusa, masikio iweze kusikia kwani yaliyopo ngoma zilisha ziba! System haijui chochote ktk mikataba kweli? Upofu huo ni wa kawaida? kwa faida ya nani?
 
watu wanapo iba serikalini na kusafirisha meno ya tembo na kusafirisha twiga nje ya nchi usalama wa taifa wanakuwa wapi?

Nimeipenda HIYO, system inayo ratibu rushwavchamani na setikalini, system inayo linda na kulea wezi wa mali ya watanzania, system inayo linda wezi kupitia mikataba 1990 hadi kutia fola 2005-2015 ni sydtem yenye akiri na kali kweli kweli,
Hiyo si chochote inlinda vigogo na watoto wao. i system makengeza inayo hitaji kuwekewa mboni mpya, pua mpya ipate kunusa, masikio iweze kusikia kwani yaliyopo ngoma zilisha ziba! System haijui chochote ktk mikataba kweli? Upofu huo ni wa kawaida? kwa faida ya nani?
 
System izuie Ukawa kuingia Ikulu ndio kuwa itakuwa imeshinda. Kwa mawazo yako unadhani Usalama wa nchi ni pale CCM inapokuwa madarakani, na nchi haiwi na usalama pale CCM inapokuwa imeshindwa. Unanichekesha ingawa sijui umri wako nadhani umekosea nchi hii ni ya wote. Usalama wa nchi ni pale mambo yanapokuwa yanaenda sawa pote nchini wakati CCM kinapokuwa chama cha upinzani. Katiba yetu inaruhusu CCM kuwa chama cha upinzani na Ukawa kukamata dola. Rais wa nchi ndiye anayekuwa mkuu wa majeshi (hata kama raisi huyo ni wewe) kama atakuwa amechaguliwa na watanzania kwa kura nyingi kuwazidi wagombea wote. Kazi ya system sio usalama wa magamba ni usalama wa nchi na mimi nikiwa salama, wewe salama, Lowasa salama, Magufuli salama na hata yule mtoto wa mtaani naye akiwa salama. hiyo ndio kazi ya system. Sasa system mwaka huu imshinde nani yenyewe inaendelea na shughuli zake kama mahakama na police. Serikali yoyote itakayokuja iwe ya Ukawa au CCM system inaendelea na kazi haishindani na chama wala mtu.
 
Hawa wa sasa wamezinduka hawatumikiii ccm pekee wanatumia vyama vyote utaona Siri nyingi zinavuja kirahisi na Safari Hii wanataka mageuzi watawasaidia ukawa kuonyesha Dunia maajabu.
 
System izuie Ukawa kuingia Ikulu ndio kuwa itakuwa imeshinda. Kwa mawazo yako unadhani Usalama wa nchi ni pale CCM inapokuwa madarakani, na nchi haiwi na usalama pale CCM inapokuwa imeshindwa. Unanichekesha ingawa sijui umri wako nadhani umekosea nchi hii ni ya wote. Usalama wa nchi ni pale mambo yanapokuwa yanaenda sawa pote nchini wakati CCM kinapokuwa chama cha upinzani. Katiba yetu inaruhusu CCM kuwa chama cha upinzani na Ukawa kukamata dola. Rais wa nchi ndiye anayekuwa mkuu wa majeshi (hata kama raisi huyo ni wewe) kama atakuwa amechaguliwa na watanzania kwa kura nyingi kuwazidi wagombea wote. Kazi ya system sio usalama wa magamba ni usalama wa nchi na mimi nikiwa salama, wewe salama, Lowasa salama, Magufuli salama na hata yule mtoto wa mtaani naye akiwa salama. hiyo ndio kazi ya system. Sasa system mwaka huu imshinde nani yenyewe inaendelea na shughuli zake kama mahakama na police. Serikali yoyote itakayokuja iwe ya Ukawa au CCM system inaendelea na kazi haishindani na chama wala mtu.

Wengi sasa wapo ukawa wamechoka na ccm
 
Kitu kizuri mwaka Huu n kwamba wanapambana watu wawili ambao tayar wameshafanya kazi na hiyo system...inawezekana kila mtu ana watu wake kwenye system hivyo kazi ikawa rahisi kabisa

Aliyefanya kazi kwa ukaribu sana na kitengo hapo ni EL na siyo Pombe! Sema Pombe ana competitive advantage kwa vile boss mkuu wa system ndo mpiga debe wake mkuu!
Patamu hapo!
 
Back
Top Bottom