Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Hili ni jaribio jingine kwa System/state au Kitengo!

Neno Alpha and Omega ni (JINA)la Mungu..yaani Mungu Muumba wa mbingu na nchi..na halipaswi kutumiwa kwa namna yeyote zaidi yakusema Yeye ni ALPHA NA OMEGA=Mwanzo na Mwisho..hivyo kulitumia kwa style yako yakibinadam haikupasi w haipaswi.Mungu akuumbie moyo safi wakumjua yeye pasi kumchanganya..asante.

Frank usidanganye uma Alpha na Omega sio Jina la Mungu Alpha ni alphabet ya kwanza na Omega ni alphabet ya mwisho katika lugha ya Kiyunani (Greek)
A na O ni mwanzo na mwisho
 
System haina nguvu kushinda nguvu za wananchi,.refer case ya gadafi je hakua na system,je system yy hakuijua?acha kufikiri kwa kutumia masaburi,wananchi ndo kila kitu.Acha macho yko wazi uone mapinduzi.
 
Usitegemee system itakuletea ugali mezani ..hiyo sio kazi yake lakini system itakuhakikishia ugali safi upo iwapo utautafuta na kuuhitaji!!

Hivi wewe huwa unaishi kwa kuletewa ugali mezani?? Hawa watanzania zaidi ya milioni 40 kuna anayewaletea ugali mezani? Hata kama wana shida (mfano: hawajavuna mazao; au wamevuna sana lakini mazao yao yamekopwa na SYSTEM) kuna anayewaletea ugali mezani??

Waweza kunipa angalau mfano mmoja ambapo SYSTEM imemhakikishia Mtanzania ugali safi upo?

Kama SYSTEM inaweza ''kuleta ugali mezani kwa anayetaka'' vipi kwenye escrow issue mbona wakubwa walipofreeze fedha zao tumesota sana???
 
Kwa taarifa yako system nayo imegawanyika!!!!!!

Kwa taarifa yako System KAMWE haiwezi kugawanyika, unachokiona wewe ni watendaji wachache waliopo ndani ya Idara wasiofuata maadili yao na kutumika na vyama vya Siasa vilivyopo.

System ina kazi nyingi mbalimbali ikiwemo kuhakikisha Serikali iliyopo Madarakani inatawala nchi kwa Amani bila ya kutishiwa kuangushwa ktk kipindi cha utawala wake, etc.

System ina uwezo wa kufanya lolote watakalo kwa maslahi tu ya Taifa ata ikiwemo kufikiria kuweka chama kingine au Mgombea mwingine Madarakani kwa njia yoyote ile kwa Manufaa na Maslahi ya Taifa.

System haina Ushabiki wa kisiasa au dini bali System ipo kwa ajili ya Watanzania wote.
 
Nadhani hujui kutofautisha kazi ya system na vyama vya siasa !!! System za nchi nyingine hufanya kazi zake kiutaaalamu na sio kisiasa nyie system ni ccm !!! POOR YOU[/QUOTE
Eti system ni Alfa na Omega mara ilisha Anticipate!!!! Ndg wenye nchi wakiamua hata hyo system unayoisema haina hiyo ALFA wala huo UMEGA hv ni nchi ngap zilikuwa na system tena imara kuliko hata hii ya CCM na leo zilidondoshwa ? Achen kutuhadaa watz kwa propaganda na vitisho vya kitoto. Watanzania ambao ndio wenye nchi wameshaamua kubadili mfumo wa utawala y system ya CCM? Kwa malengo ya Nani?
 
naona mnajifariji tu. zile ni muvi tu za kimarekani.
bongo ni bongo na hao sisitimu wana njaa kama nini??
ndio maana wanakimbizana na vitu vya kijinga na kuacha vyenye maslahi kwa taifa.

yeah mkuu tunajifariji tu ila kiukweli niliacha tabia ya kulalamikia kila kitu inachokifanya serikali baada ya kuangalia ile series... sikatai kwamba kuna viongozi wa serikali ambao ni washenzi ila pia siamini kama wale wafanya maamuzi wakuu wa nchi wanaweza kuamua vitu kwa maslahi yao binafsi nachojua hawa watu never lose sight of the big picture..
 
Nadhani hujui kutofautisha kazi ya system na vyama vya siasa !!! System za nchi nyingine hufanya kazi zake kiutaaalamu na sio kisiasa nyie system ni ccm !!! POOR YOU[/QUOTE)



Eti system ni Alfa na Omega mara ilisha Anticipate!!!! Ndg wenye nchi wakiamua hata hyo system unayoisema haina hiyo ALFA wala huo UMEGA hv ni nchi ngap zilikuwa na system tena imara kuliko hata hii ya CCM na leo zilidondoshwa ? Achen kutuhadaa watz kwa propaganda na vitisho vya kitoto. Watanzania ambao ndio wenye nchi wameshaamua kubadili mfumo wa utawala y system ya CCM? Kwa malengo ya Nani?
 
System haina nguvu kushinda nguvu za wananchi,.refer case ya gadafi je hakua na system,je system yy hakuijua?acha kufikiri kwa kutumia masaburi,wananchi ndo kila kitu.Acha macho yko wazi uone mapinduzi.

Tatizo akili zenu mnaziacha Ufipa kwa DJ. Unaijua vizuru fall ya Gadafi lakini?
 
Yaani sasa hivi kila mtu anajifanya system..

Nguvu ya umma ndio system ... Unajua maana ya POWER..?

Power ni kukasimu madaraka ya wananchi kwa raia fulani wanaoitwa viongozi , raisi , nk .

Lakini siku yoyote, wanaweza wakabadilisha wanavyotaka, ndivyo wanavyofanya nchi za wenzetu, walioendelea.
Wamefanya hivyo, Zambia, Malawi, Kenya nk. Huko hawakuwa na system?

Unajua hizi kelele kelele za danganya danganya , zinakuwa nyingi kwa vile kampeni hazijaanza... na wanafikiri unaweza kudanganya watu wote siku zote.

haiwezekani
 
Amen and amen!

Niliwahi kuandika.... Watanzania wazalendo watajikuta wamejikusanya pamoja bila kujua nani kawakusanya na kwa jinsi gani..... Once again fisadi yeyote hata kaa akatize miguu yake kwenda kwenye jumba letu takatifu.... Its done just wait and see!

Not by power or mighty but through the holly spirit.

Kila roho yenye dhambi itakufa, asemama Bwana wa majeshi; Ambaye Ame aona fahari kuitwa mtumishi wake.

Glory, honor, power and majesty belong to my Lord and saviour Jesus!
 
System ni muunganiko wa organs mbalimbali zinazofanya kazi moja hili ni somo la darasa la saba au form one!

Unajifanya unaijua system kweli....hongera sana ila pole sana kwa ufinyu wa mawazo!
Sijawahi kuona mtu anayeijua system akawa mjinga mjinga..ndo leo nimeona!
 
Nadhani hujui kutofautisha kazi ya system na vyama vya siasa !!! System za nchi nyingine hufanya kazi zake kiutaaalamu na sio kisiasa nyie system ni ccm !!! POOR YOU
Eti system ni Alfa na Omega mara ilisha Anticipate!!!! Ndg wenye nchi wakiamua hata hyo system unayoisema haina hiyo ALFA wala huo UMEGA hv ni nchi ngap zilikuwa na system tena imara kuliko hata hii ya CCM na leo zilidondoshwa?

Achen kutuhadaa watz kwa propaganda na vitisho vya kitoto. Watanzania ambao ndio wenye nchi wameshaamua kubadili mfumo wa utawala y system ya CCM? Kwa malengo ya Nani?

Ama kweli Usilolijua ni kama usiku wa giza!

Tusipende kuongelea vitu visivyo eleweka hapa na ningependa siku moja uone ni jinsi gani System inavyofanya kazi zake pale tu siku ukijipanga wewe na hao unaowahita "wenye nchi" kufanya mambo kinyume na taratibu na hapo ndipo utakuja kujua kwamba System ipo madhubuti na wala yasemwayo hapa SIO Propaganda wala Vitisho bali ni kweli 110%

Ni kweli kuna nchi mbali mbali zilizopinduliwa lakini hizo nchi SIO Tanzania na KAMWE haitokuja kuwa Tanzania.

Mapinduzi yakitokea ndani ya Tanzania basi yatakuwa mapinduzi ya kawaida ya kiraia na ya kidemokrasia na SIO ya Kijeshi bila ya kuwa na Baraka za System.
 
Amen and amen!

Niliwahi kuandika.... Watanzania wazalendo watajikuta wamejikusanya pamoja bila kujua nani kawakusanya na kwa jinsi gani..... Once again fisadi yeyote hata kaa akatize miguu yake kwenda kwenye jumba letu takatifu.... Its done just wait and see!

Not by power or mighty but through the holly spirit.

Kila roho yenye dhambi itakufa, asemama Bwana wa majeshi; Ambaye Ame aona fahari kuitwa mtumishi wake.

Glory, honor, power and majesty belong to my Lord and saviour Jesus!

hakuna hakuna hakuna
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ubaya wa system ni kukiweka na kupigania maslahi ya chama kimoja.
Hapo huwezi kusema system inasimamia maslahi ya nchi.
 
Kweli wewe ni system au SYSTEM NDIYO NANI?

Huleti hoja yenye majadiriano ya mlingano unakuwa kama unatishia ipo system tafsiri nyangu mfumo.

Mfumo ulishatafunwa na panya wa system CCM

Yanapozungumziwa mabadiliko maana yake "system" imeshindwa

Kwa sasa mioyoni mwa baadhi yetu tunataka hata hiyo inayoitwa system itokomee

Wewe kwenye jamvi hili ni veteran lakini kwa bandiko hili umejitenga na baadhi yetu na kujiunga na wamiliki wa CCM wenye ukwasi wa kuiweka system mfukoni.

Tuna kawimbo ketu ka utotoni tulipokuwa tunaishi kwenye mbavu za mbwa "KIBANDA BOMOKA TULALE NJE". Wimbo ulibeba maudhui kuwa kibanda kikibomoka labda wazazi na ndugu watajenga kibabda mbadal.

Kwa sasa kunahitajika mbadala wa kila kitu. Na wewe badirika kama mimi.
TUNA HAMU NA SYSTEM MBADALA SIYO HII YAKICHOVU
 
Nimepotea kivipi?soma unielewe halafu nieleze nilipopotoka!usikurupuke na wala usiwe na jazba !

Je huamini System??

System...hahaàaa..kama ilivyo kwenye 24hours..jack Bauer sio..mkuu umetisha...nadhani hujui hata unachokiandika..kaiangalie hiyo series. .siasa waachie wenyewe!
 
Back
Top Bottom