Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,741
- 7,537
Hujanielewa, yaani nauliza hivi: kwani wewe ni chawa? Mimi siamini kama wewe ni chawaWasingekuwa chawa wasingependa mateso ya wengine
Hujanielewa, yaani nauliza hivi: kwani wewe ni chawa? Mimi siamini kama wewe ni chawaWasingekuwa chawa wasingependa mateso ya wengine
Hiko chombo wanachoita system ni chama tawala tupu.Siyo system hii ya kiCCM CCM wao wanajua kulinda CCM ikae madarakani kimagumashi lakini siyo kulinda interest za nchi
Unawapa sifa wasizokuwa nazo mkuu
Umepitiliza kuelewa kana system fulani hivi.....Ha haha!nilimuelewa nikapitiliza kiwango!
Hivi kunguru weupe bado wapo?Ukiona mtu ana amini katika "kitengo" badala ya nguvu ya umma ni wazi upeo wake wa kufikiri ni mdogo sana
Kaedit leo majuzi au january mwaka huuUzi huu ni wa mwaka 2015 alafu jamaa kaitaja covid 19 alijuaje,au mi ndio sielewi?
Duh...Kaedit leo majuzi au january mwaka huu
Zingatia.Notta Benne?sijaelewa hii kitu aiseh!!