Nimeanza kuelewa sasaNakubaliana na hoja
Siyo system hii ya kiCCM CCM wao wanajua kulinda CCM ikae madarakani kimagumashi lakini siyo kulinda interest za nchikama kawaida System au Kitengo huwa kipo mbele kwa kila jambo
Jamii forums ibarikiwe Salute mingi sana Mkuu..Ha haha!nilimuelewa nikapitiliza kiwango!
Usajili mpya lumumba[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira sana mkuu! Fanya mambo mengine hayo matamanio yako hayapo subiri kugongwa tena 2025
#1 intelligence engine in Africa!kama kawaida System au Kitengo huwa kipo mbele kwa kila jambo
System yote ni chawaSiyo system hii ya kiCCM CCM wao wanajua kulinda CCM ikae madarakani kimagumashi lakini siyo kulinda interest za nchi
Unawapa sifa wasizokuwa nazo mkuu
Ipo kazihii nchi kweli ya ajabu na ina watu wenye fikra za ajabu.
kwa hiyo kwenu nyie sisitimu kufanya kazi ni kulinda maslahi ya chama kimoja na mafisadi?
vyama vingine havichangii kodi ya kuendesha hivyo vitengo?
kwani akishinda mtu wa chama kingine imani itapotea au hawataweza kulinda hiyo amani?
ndio maana wananchi tunawachukia na ole wenu ccm tukishaitoa madarakani, mtarudi vijijini kulima viazi.
yaani badala ya kulinda amani ya nchi na mipaka yake wako busy kulinda wezi!!!
ndio maana nchi ina wahamiaji haramu wengi na wengine wamepewa vitambulisho vya kura na passport za tz.
Tatizo la kurecruit watu wenye IQ ndogo na kuwapa kazi nzito.
wanawaza matumbo yao tu
Kwa ufanisi wao wa kutumika kwa maslahi ya mtu na genge lake la madhalimu, basi usiseme mwaka 2025 bali sema mwaka 3000[emoji23] [emoji23] [emoji23] Una hasira sana mkuu! Fanya mambo mengine hayo matamanio yako hayapo subiri kugongwa tena 2025
Kabisa.Jackbour umepotea sana
Wakifanikiwa kumpoteza asirudi hapo na mimi nitaiamini system maana Jamal alijisahau kuwa yeye ni mtumishi wa umma.Nimepotea kivipi?soma unielewe halafu nieleze nilipopotoka!usikurupuke na wala usiwe na jazba !
Je huamini System??
Kuna viumbe wawili tu hapa duniani ambao huwa hawalali wala kusinzia masaa 24, siku 366 kwa mwaka. Wa kwanza ni Mungu halafu wa pili ni huyo uliyemtaja hapa. Huyu wa pili ukitaka uendane naye vizuri, usijaribu kabisa kum-prmpt kumpa wewe kazi ya kufanya, hapana. Yeye kazi anazo tayari tena nyingi tu, na kama unataka uendane naye vizuri, basi kuwa katika nafasi ambayo utamvutia yeye akupe wewe kazi, na siyo wewe umpe kazi, hapana.Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO.
Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio ovu kutoka ndani na nje ya mipaka yetu.
Ni 'system' pekee ndio inatufanya tuishi kwa amani hata kama ni kidogo!
System hailali wala kusinzia!
System inaachia uhuru wa kutosha sana mpaka pale ulevi wa uhuru unapoanza ndipo system inaingilia kati !
Sitaki kuongelea mengi pengine siyajui sana!
Naamini ni kazi ya kawaida kabisa ya System kuendelea kujilinda na kulinda values za kitanzania ili kuifanya Tanzania iendelee kuitwa Tanzania!
Hakuna aliye juu ya system awe masikini,kilema au tajiri au gaidi.ni system pekee ndio Alpha na Omega!
Mwaka 1992,1995,2010,2013 na labda miaka ya nyuma zaidi nikiwa mdogo SYSTEM ilipitia majaribio makubwa kadhaa na ikayashinda na sasa ni jaribio jingine tena ndani ya mwaka huu 2015.
Kwa hekima ya kipekee naamini system itashinda kiurahisi kuliko kila mmoja wetu anavyotarajia kwa kuwa ili-anticipate na hivyo imejipanga vilivyo.
UPDATES:
System au Kitengo imepata majaribu mapya na ya kipekee na imeyafanyia kazi kwa weledi.bado naendelea kuiita system ni ALPHA na OMEGA.
Tutulie ! #COVID 19
KILA LA KHERI KWA SYSTEM KATIKA KUENDELEZA MAJUKUMU YAKE!
#Heshimakwakitengo
Hapana, hii siyo kweli wewe huwezi kuwa chawa hata siku moja. Hata mimi pia chawa namjua, hafanani na wewe kabisaSystem yote ni chawa
Halafu usifikiri kuwa huko Ubelgiji wamekaa kihasara hasara tu, hapana wapo kazini na kuna vitu wanafanya remotely kutokea huko huko halafu vinatokea huku. Kuwa mwangalifu sana katika hili acha mchezoMkija kushtuka oktoba 2025 hii hapa,!
Sie kazi yetu tunawategea kwenye kona tunawarabua mnarudi mbio mbio ublegiji
Wasingekuwa chawa wasingependa mateso ya wengineHapana, hii siyo kweli wewe huwezi kuwa chawa hata siku moja. Hata mimi pia chawa namjua, hafanani na wewe kabisa
Lukuvi afanye nini? Hata busara sidhani kama zipo sawa!Mimi natamani hata System ikiona amani inatoweka wamkumbuke Lukuviii ...Jeshi lichukueeee....